Shein ataka makumbusho Zanzibar, Berlin kushirikiana
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametaka kuwepo ushirikiano kati ya makumbusho ya viumbehai ya mjini Berlin na Zanzibar ili kutoa fursa za kufanyika tafiti mbalimbali ya hazina ya viumbehai vilivyopo Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDK.SHEIN ATENMBELA SKULI NA MAKUMBUSHO BERLIN UJERUMANI
10 years ago
VijimamboDk Shein atembelea Skuli na Makumbusho mjini Berlin, Ujerumani
9 years ago
Habarileo23 Nov
Shein ataka Zanzibar iharakishwe kuwa jiji
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, amesema hatua mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kuimarisha huduma katika Manispaa ya Mji wa Zanzibar iwe ni changamoto kwa mamlaka zinazoshughulikia Serikali za Mitaa kuuandaa mji huo kuwa jiji kama majiji mengine duniani.
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AHUDHURIA MKUTANO WA BIASHARA BERLIN, NCHINI UJERUMANI
9 years ago
Habarileo25 Aug
Ataka SADC kushirikiana
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesisitiza umuhimu wa Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara (SADC) kuendelea kushirikiana kiuchumi kutokana na historia ndefu ya mataifa hayo ya kusaidiana wakati wa kujikomboa kutoka kwa wakoloni.
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aYIgZ6pgXk0/UvAQovUsHQI/AAAAAAABAA0/XLaONXE_dTM/s1600/TA1A2126.jpg)
DK. SHEIN AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA INDIA, AWEKA SHADA LA MAUA MAKUMBUSHO YA MAHATMA GHANDHI
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Makumbusho Zanzibar yaboreshwe
11 years ago
Dewji Blog27 May
MO ataka madhebebu dini kushirikiana na serikali ili kuleta maendeleo endelevu
Mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na waumini wa Msikiti wa kijiji cha Mtamaa wakati wa ziara yake ya siku tatu jimbo kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MBUNGE wa Jimbo la Singida mjini, Mohammed Gulam Dewji amewahimiza waumini wa madhahebu mbalimbali ya dini kuendelea kushirikiana na serikali ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo endelevu.
Mbunge Dewji maarufu kwa jina la MO,ametoa wito huo hivi karibuni kwa nyakati tofauti wakati akikagua ujenzi wa...