Madaktari waliiambia familia asubuhi ‘Mandela anatutoka’
MADAKTARI waliokuwa wakimhudumia Rais mstaafu, Nelson Mandela siku ya mwisho wa maisha yake, walitoa tahadhari kwa familia kwamba alikuwa anaelekea kuiaga dunia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Madaktari wanane kwa Mandela katika saa 24
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcpz-laNiDT8l5s60xpY2CI8eJ9wHi4PSiS*wtytk9V3yXywkrSIG1cXAaigtvSNj6DGkzD9LnyjYCwAuBztFDh-/MPASUKO.jpg?width=650)
MPASUKO FAMILIA YA MANDELA
11 years ago
Habarileo18 Dec
Ugomvi familia ya Mandela wafufuka
SIKU mbili baada ya maziko ya Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, ugomvi kati ya watoto na wajukuu wa shujaa huyo wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, umeibuka upya.
11 years ago
Mtanzania06 Aug
Mzozo waibuka familia ya Mandela
![Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Winnie-Mandela.jpg)
Mke wa zamani wa Nelson Mandela, Winnie Mandela
Mwandishi Wetu na Mashirika ya habari
MTALIKI wa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, Winnie Mandela ameibuka na kutaka watoto wake wapewe nyumba yake iliyoko kijijini Qunu.
Hatua yake hiyo huenda ikazua mgogoro wa kwanza wa kisheria kuhusiana na mali za Nelson Mandela tangu alipoaga dunia mwaka jana.
Mawakili wa Winnie Madikizela-Mandela wamesema kudai nyumba hiyo ni haki yake ya kiutamaduni kwa vile aliwahi kuwa mke wa marehemu...
11 years ago
BBCSwahili07 Dec
Familia ya Mandela:'Ni kipindi kigumu'
11 years ago
Habarileo10 Dec
Familia yataka ndoto za Mandela ziendelezwe
FAMILIA ya Nelson Mandela, Baba wa Taifa la Afrika Kusini, jana walitoa tamko kwa wananchi wa taifa hilo na dunia, kuisaidia familia hiyo kuendeleza ndoto za kiongozi huyo mashuhuri duniani.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Familia ya Nyerere yaenda Qunu kumzika Mandela
9 years ago
Michuzi07 Dec
9 years ago
Michuzi29 Nov