Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’

Ni Nassra Salum Khalid mkaazi wa Kilima hewa wilaya ya magharib Unguja ni mwanafunzi aliekatisha masomo yake ya darasa la saba siku chache kabla ya kukaribia kufanya mtihani wa Taifa kuingia kidato cha kwanza. Nassra ni […]

The post ‘’Nassra mtoto aliekatisha ndoto za kusoma anaehitaji kusaidiwa’’ appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

UNFPA yataka mtoto wa kike kushikilia ndoto

MWAKILISHI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia idadi ya watu UNFPA, Dk Natalia Kanem amewataka wasichana kushikilia ndoto zao pamoja na changamoto zinazojitokeza.

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : je, Unajua kurekebisha mtindo wako wa kusoma kufuatana na malengo yako ya kusoma?

Je wakati mwingine unaposoma habari fulani huwa unashindwa kuelewa kilichokusudiwa? Je, hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache tu? Je, inapotokea hali hii huwa unafanya nini? Je unafikiri ni wewe tu unayekabiliwa na tatizo hili? Hata hivyo, usiwe na wasiwasi kwa kuwa wako watu wengi wanaokabiliwa na tatizo kama hili.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Nassra safari India kwa matibabu

Alhamdulilah,nineno la shukrani ambalo mja humshukuru Mola wake kwa kila jambo.Kwa upande wangu nimeamua kutumia neno hili leo baada ya kufanikiwa kile ambacho kilikuwa kimenikaa rohoni juu ya mtoto huyu pichani (Nassra)anaesumbuliwa na mguu tangia akiwa […]

The post Nassra safari India kwa matibabu appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wazee maskini kusaidiwa Kenya

Serikali itawapatia wazee masikini dola 24 kila mmoja kwa mwezi katika juhudi za kupunguza umasikini nchini

 

11 years ago

Habarileo

Wachimbaji wadogo kuendelea kusaidiwa

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen MaseleSERIKALI imesema itaendelea na juhudi ya kuwasaidia wachimbaji madini wadogo nchini ili waweze kufikia uchimbaji wenye tija.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbakaji ataka kusaidiwa kufa

Wizara ya sheria nchini Ubelgiji, imesema kuwa mwanamume aliyepatikana na hatia ya mauaji na ubakaji sasa hatasaidiwa katika azma yake ya kutaka kufariki kama alivyokuwa ameomba.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchumi mdogo watakiwa kusaidiwa

Serikali imeshauriwa kutumia nguvu zaidi kuwekeza katika uchumi mdogo, ambao ndiyo unashikiliwa na kundi kubwa la Watanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Wenye ulemavu waomba kusaidiwa

HALMASHAURI ya Jiji la Tanga imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga fedha kwa ajili ya kusaidia manunuzi ya vifaa visaidizi kwa ajili ya watu wenye ulemavu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Meya wa Toronto anataka kusaidiwa

Wakili wa meya huyo, amesema Bwana Ford amekiri kuwa na tatizo la utumizi mbaya wa madawa ya kulevya na kwamba angetaka kusaidiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani