Majabvi aiangukia Simba
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MCHEZAJI wa kimataifa wa Simba, Justice Majabvi, ameuomba uongozi wa klabu hiyo kumpa nafasi nyingine ya kuendelea kuichezea timu hiyo katika mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara.
Majabvi ambaye ni raia wa Zimbabwe alitishia kuondoka katika timu hiyo kwa madai kuwa uongozi umeshindwa kumtimizia mahitaji yake ya msingi.
Habari za kuaminika kutoka ndani ya klabu hiyo zililipasha MTANZANIA jana kuwa, Majabvi aliwapigia simu viongozi wa timu hiyo kuomba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Aug
Simba yaingia mkataba na Majabvi
KLABU ya Simba imemsainisha kiungo mkabaji wa kimataifa kutoka Zimbabwe, Justice Majabvi, mkataba wa miaka miwili wa kuichezea timu hiyo inayojiandaa kushiriki msimu ujao wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara.
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Simba wamshtukia Majabvi, wamkata mshahara
Kiungo wake mkabaji Mzimbabwe, Justice Majabvi.
Wilbert Molandi, Dar es Salaam
KUTISHIA kumtimua haikutosha, uongozi wa Simba umeamua kumkata mshahara wa mwezi huu kiungo wake mkabaji Mzimbabwe, Justice Majabvi.
Hiyo ni siku chache tangu kiungo huyo alipoujia juu uongozi wa timu hiyo akilalamikia kutotimiziwa mahitaji yake kwa mujibu wa mkataba tangu ajiunge na Simba, hasa suala la malazi.
Uongozi wa Simba ulikasirishwa na kitendo hicho na kuchukua uamuzi wa kumtimua nyota huyo mwenye...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
USAJILI: Yanga, Simba zawatuliza Bossou, Majabvi
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Nyota Nibomana, Majabvi wamkuna kocha wa Simba
9 years ago
MillardAyo23 Dec
TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga …
Mtu wangu wa nguvu najua unashauku ya kutaka kufahamu leo December 23 kuna stori gani katika headlines za soka la Bongo. Huenda ukawa hukupata bahati ya kusoma stori za michezo za magazeti ya leo December 23. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 5 za stori za magazeti ya michezo ya Tanzania. 5- Majabvi amalizana […]
The post TOP 5 Stories: Samatta kapata timu Ulaya, Majabvi kamalizana na Simba, anayefifisha nyota ya Niyonzima Yanga … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Rage aiangukia TFF
RAIS wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’, ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), akilitaka liruhusu uchaguzi wa Simba ufanyike Juni 29. Rage alisema Juni 15, mwaka...
9 years ago
Habarileo24 Dec
Majabvi arudi kundini
MCHEZAJI Justice Majabvi wa Simba ameomba radhi kwa uongozi wa timu yake na tayari ameungana na wenzake kambini Shinyanga kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui keshokutwa.
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
RC Mahiza aiangukia TCRA
MKUU wa Mkoa (RC) wa Pwani, Mwantumu Mahiza, ameiomba Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuwasiliana na wamiliki wa vyombo vya habari, hasa luninga, ili kuweka mkalimani wa lugha ya alama...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Chuji aiangukia Yanga
SIKU chache baada ya kiungo nyota wa Klabu ya Yanga, Athuman Idd ‘Chuji’ kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu kwa muda usiojulikana, ameandika barua kwa uongozi wake kuomba radhi. Mwishoni mwa...