Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Logarusic apewa mkataba feki Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge
AKIWA amebakiza siku chache za kuendelea kuutumikia mkataba wa kuifundisha Simba, kocha wa timu hiyo, Zdravko Logarusic ameweka wazi kuwa hajasaini mkataba wowote na klabu hiyo. Loga raia wa Croatia ameweka wazi kuwa hana mkataba wa ziada wa kuendelea kuifundisha Simba, bali uliopo sasa ni ule unaoisha mwisho wa msimu huu na kusisitiza kuwa wanaosema ameongeza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Emerson apewa mkataba Yanga

Klabu ya Yanga imempa mkataba wa mwaka mmoja kiungo mkabaji, raia wa Brazil, Emerson de Oliveira Neves Roque baada ya kufuzu majaribio.

 

10 years ago

Vijimambo

MKWASA APEWA MKATABA WA KUDUMU STARS


Charles Boniface Mkwasa amepewa mkataba wa kudumu kukinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu na kumalizika Machi 31, 2017. 

TFF Imefikia makubaliano hayo na kocha Mkwasa baada ya kurudhika na utendaji wake katika kukinoa kikosi cha timu ya Taifa, ambapo mpaka sasa ameweza kuingoza Stars katika sare ya michezo miwili dhidi ya Uganda na Nigeria. Kufuatia kusaini mkataba huo, Mkwasa atapatiwa huduma na marupurupu...

 

10 years ago

Bongo5

Mkwasa apewa mkataba rasmi kuinoa Taifa Stars

TFF imefikia makubaliano na kocha Charles Boniface Mkwasa ya kumpa mkataba rasmi baada ya kuridhika na utendaji wake katika kukinoa kikosi cha timu ya Taifa Stars. Mkwasa amepata mkataba wa kuifundisha timu hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu na kumalizika Machi 31, 2017. Baada ya kusaini mkataba huo, […]

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic aitega Simba

Baada ya kuisaidia Simba kupata sare 1-1 na Yanga, Kocha  Zdavko Logarusic amesema hatima ya kuendelea kuifundisha timu hiyo itajulikana wiki hii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba wamtega Logarusic

KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic aisuka upya Simba

Licha ya  mwanzo wake mzuri  katika Ligi  Kuu Tanzania  Bara, kocha  wa Simba, Zdavko Logarusic ameamua kukisuka upya kikosi chake.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yamfuta kazi Logarusic

Ajira ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba Zdravko Logarusic imefikia tamati rasmi jana baada ya uongozi wa klabu hiyo kusitisha mkataba wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic kutimua wavivu Simba

Kocha wa Simba, Mcrotia Zdravko Logarusic ametamka kwamba hana kikosi cha kwanza na kuwataka wachezaji wa klabu hiyo ya Wekundu wa Msimbazi kugombea namba kwani hatakuwa na huruma na mchezaji mvivu.

 

11 years ago

GPL

Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi

Kocha mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema kikosi chake hakitakwenda kushiriki michuano ya Mapinduzi visiwani Zanzibar, kama atakuwa bado yupo nacho. Logarusic, maarufu kama Loga, amesema ingawa michuano hiyo ina heshima kubwa lakini kwa hesabu ni migumu na inaiathiri timu. Akizungumza na gazeti hili, Loga alisema kwa kipindi cha mapumziko, timu kucheza hadi mechi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani