Logarusic apewa mkataba feki Simba

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Sweetbert Lukonge AKIWA amebakiza siku chache za kuendelea kuutumikia mkataba wa kuifundisha Simba, kocha wa timu hiyo, Zdravko Logarusic ameweka wazi kuwa hajasaini mkataba wowote na klabu hiyo. Loga raia wa Croatia ameweka wazi kuwa hana mkataba wa ziada wa kuendelea kuifundisha Simba, bali uliopo sasa ni ule unaoisha mwisho wa msimu huu na kusisitiza kuwa wanaosema ameongeza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Emerson apewa mkataba Yanga
10 years ago
Vijimambo
MKWASA APEWA MKATABA WA KUDUMU STARS

Charles Boniface Mkwasa amepewa mkataba wa kudumu kukinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu na kumalizika Machi 31, 2017.
TFF Imefikia makubaliano hayo na kocha Mkwasa baada ya kurudhika na utendaji wake katika kukinoa kikosi cha timu ya Taifa, ambapo mpaka sasa ameweza kuingoza Stars katika sare ya michezo miwili dhidi ya Uganda na Nigeria. Kufuatia kusaini mkataba huo, Mkwasa atapatiwa huduma na marupurupu...
10 years ago
Bongo507 Oct
Mkwasa apewa mkataba rasmi kuinoa Taifa Stars
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Logarusic aitega Simba
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Simba wamtega Logarusic
KLABU ya Simba inasubiri taarifa rasmi ya kocha mpya, Zdravok Logarusic kuhusu mkakati wake wa kudhibiti nidhamu katika timu kwa kuwakata mshahara nyota wanaochelewa kwenye mazoezi. Hivi karibuni Logarusic alisema...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Logarusic aisuka upya Simba
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Simba yamfuta kazi Logarusic
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Logarusic kutimua wavivu Simba
11 years ago
GPL
Logarusic: Simba haitaenda Mapinduzi