Salah atua Chelsea, Wenger awaka
Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho ameendelea kufanya mabadiliko katika kikosi chake baada ya juzi kumsajili winga Mohamed Salah kutoka klabu ya Basel.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jan
Chelsea yamsajili Mohamed Salah
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/2C9E/production/_84722411_salah.jpg)
Chelsea's Salah joins Roma on loan
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72467000/jpg/_72467962_saleh.jpg)
Chelsea agree £11m deal for Salah
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Wenger:Ushindi dhidi ya Chelsea ni muhimu
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-_Mn_tS7PzA8/Vf0K2MHG9dI/AAAAAAAADhk/F3qoizGhMjs/s72-c/Soccer---Jose-Mourinho-an-008.jpg)
WHAT JOSE MOURINHO SAID ABOUT WENGER BEFORE TODAY'S CHELSEA CLASH WITH ARSENAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-_Mn_tS7PzA8/Vf0K2MHG9dI/AAAAAAAADhk/F3qoizGhMjs/s1600/Soccer---Jose-Mourinho-an-008.jpg)
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-iacdJ0ubtu0/Vc38HEbrScI/AAAAAAAADSM/2P1yL0ylgzI/s72-c/Wenger-main.jpg)
ARSENE WENGER BACKS CHELSEA DOCTOR EVA CARNEIRO "THE RULES ARE CLEAR"
![](http://3.bp.blogspot.com/-iacdJ0ubtu0/Vc38HEbrScI/AAAAAAAADSM/2P1yL0ylgzI/s1600/Wenger-main.jpg)
Wenger also hinted Mourinho's bust up with doctor Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford BridgeArsene Wenger has told Jose Mourinho "the rules are the rules" after the Chelsea boss's row with his medics.And he has hinted Mourinho's bust up with doctor Eva Carneiro and head physio Jon Fearn points to a lack of unity at Stamford Bridge.Mourinho has been in the spotlight this week after demoting Carneiro and Fearn after an explosive row.Mourinho erupted after...
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Straika wa Chelsea atua Yanga
![Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mbaruku.jpg)
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Seleman Abdallah Mbaruku, akiwa katika mazoezi ya timu ya Yanga jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Loyola, Dar es Salaam. Picha na John Dande
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
MSHAMBULIAJI wa zamani wa timu ya Chelsea ya England, Seleman Abdallah Mbaruku, ametua jana ndani ya kikosi cha Yanga kufanya majaribio ili kusajiliwa na timu hiyo.
Mbaruku amewahi kuichezea timu ya watoto ya Chelsea alipokuwa na umri wa miaka saba na nane, kabla ya kuhamia...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s72-c/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
FALCAO ATUA RASMI CHELSEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AhMNR_2acic/VZQOb_IyxLI/AAAAAAAACXQ/_Yq7SqMk1As/s400/Radamel-Falcao-Atletico-Madrid-Primera-Liga_2835116.jpg)
Radamel Falcao amesaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Chelsea na ataungana na timu yake mpya kwenye ziara ya kujiandaa na msimu ujao (pre-season) huko bara la America ya Kaskazini hii ni kwa muji wa ripoti.Mjomba pamoja na baba yake Falcao wamethibitisha kwamba, mkataba umeshasainiwa kati ya mshambuliaji huyo na klabu ya Chelsea.
Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, Chelsea wamekubaliana na Monaco kumsajili Falcao kwa mkopo wa mwaka mmoja lakini mkataba huo unakipengele cha kumsajili moja...