Wakili Damas Ndumbaro asema hatma yake TFF kujulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho hilo mwakani
![](http://1.bp.blogspot.com/-FPiZVG_Wxq8/VJsftirF2_I/AAAAAAAG5p8/NxzqJWn1eU4/s72-c/images%2B(1).jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi ya Simba na mjumbe wa Bodi ya Ligi Kuu, Wakili Damas Ndumbaro (pichani) amesema hatma yake ya kujihusisha na masuala ya soka itajulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Mkutano huo umepangwa kufanyika mapema mwezi Machi mwakani ambapo ajenda ya mkutano huo ni Kufungua kikao, kuthibitishwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu, kusoma nakuthibitisha ajenda, hotuba ya Rais, kupokea taarifa za utekelezaji za wanachama, kupitisha taarifa za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ndumbaro: Hatima yangu mkutano mkuu wa TFF mwakani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FdcsDQ_ACKw/VFUCf1tpCmI/AAAAAAAGum4/GjzrgYo9E_o/s72-c/download.jpg)
TFF YAJIBU SHUTUMA ZILIZOTOLEWA NA WAKILI NDUMBARO DHIDI YAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-FdcsDQ_ACKw/VFUCf1tpCmI/AAAAAAAGum4/GjzrgYo9E_o/s1600/download.jpg)
1.Hukumu dhidi ya Wakili Ndumbaro ilitolewa na chombo halali kwa mujibu wa Katiba ya TFF. Hivyo, TFF inatoa tahadhari kwa wanafamilia wa mpira wa miguu kutomhusisha Wakili Ndumbaro katika masuala ya mpira wa miguu katika kipindi hiki anachotumikia adhabu.
2.Hadi sasa TFF haijapokea rufani yoyote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZdQOwcR6HaKivVPSGgbEBhknIlVqnDS5NGE1d3uRzai0weL*GGoN62tttqwLdV3ITGWsWmHb7LWq2escwr5Sbk8/3.jpg)
WAKILI DAMAS NDUMBARO ATUPWA JELA YA SOKA MIAKA SABA
10 years ago
Michuzi13 Oct
BREAKING NYUZZZZ......: WAKILI DAMAS NDUMBARO ‘ ATUPWA JELA YA SOKA’ MIAKA SABA
Ndumbaro alikimbilia katika vyombo vya habari...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6PCBbWo2yNg/VFOsaj9SDsI/AAAAAAAGuZ0/GKCvUcNAifU/s72-c/ndumbaroJPG.jpg)
TFF na Kamati zake hazina mamlaka ya kunifungia - Wakili Ndumbaro
![](http://4.bp.blogspot.com/-6PCBbWo2yNg/VFOsaj9SDsI/AAAAAAAGuZ0/GKCvUcNAifU/s1600/ndumbaroJPG.jpg)
HUKU Dk. Damas Ndumbaro, akiwa amekata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka saba kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi iliyotolewa na Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), amesema ataendelea kufanya kazi zake za kuwawakilisha wadau wa soka watakaohitaji huduma yake ya uwakili.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Ndumbaro alisema kuwa TFF na Kamati zake hazina mamlaka ya kumfungia kufanya kazi za uwakili isipokuwa Jaji Mkuu wa Tanzania...
11 years ago
IPPmedia28 May
Election committee chairman, Damas Ndumbaro
IPPmedia
IPPmedia
While Simba's electoral committee has disqualified Michael Wambura from contesting in the club's polls scheduled for June 29, the aspirant said he will respond on the options to take today. Election committee chairman Damas Ndumbaro declared ...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-71upGPY0PHM/XlPf9VkRcYI/AAAAAAACzVY/qTyHjE5AQD8njkzVao6boZ1lX2V59fGHgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HATMA YAO KUJULIKANA WIKI HII
![](https://1.bp.blogspot.com/-71upGPY0PHM/XlPf9VkRcYI/AAAAAAACzVY/qTyHjE5AQD8njkzVao6boZ1lX2V59fGHgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa jijini hapa jana na Katibu Mkuu wa chama, Dk Bashiru Ally wakati akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JeNChS1-pWw/VTUJsf3k6AI/AAAAAAAHSH0/zztMNXa_nHs/s72-c/NDUMBARO%2BVILABU.jpg)
Hatma ya Ndumbaro kutolewa Mei 10 mwaka huu
![](http://4.bp.blogspot.com/-JeNChS1-pWw/VTUJsf3k6AI/AAAAAAAHSH0/zztMNXa_nHs/s1600/NDUMBARO%2BVILABU.jpg)
Kikao cha Kamati ya rufaa ya nidhamu chini ya Revocatus Kuuli ilisikiliza hoja za pande mbili ambao Ndumbaro alijiwakilisha mwenyewe wakati kwa upande wa TFF iliwakilishwa na wakili wao Emmanuel Muga huku habari za ndani zikidai kuwa licha ya Ndumbaro kukata rufaa, TFF nayo imemfungulia shtaka la tatu la kuandaa mechi kinyume na taratibu.
Kikao hicho...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RiAW5YQJarI/VFxMbIdqexI/AAAAAAAGv50/s_4XUbDIMMw/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MAGHALA YA CHAKULA KIZOTA DODOMA: Mwekezaji wa Poland asema wataanza kujenga Januari, mwakani
![](http://4.bp.blogspot.com/-RiAW5YQJarI/VFxMbIdqexI/AAAAAAAGv50/s_4XUbDIMMw/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rS5CMxpnNRo/VFxMbFy9hoI/AAAAAAAGv5w/iDI5h-tUhks/s1600/unnamed%2B(9).jpg)