Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Election committee chairman, Damas Ndumbaro


IPPmedia
Election committee chairman, Damas Ndumbaro
IPPmedia
While Simba's electoral committee has disqualified Michael Wambura from contesting in the club's polls scheduled for June 29, the aspirant said he will respond on the options to take today. Election committee chairman Damas Ndumbaro declared ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAKILI DAMAS NDUMBARO ATUPWA JELA YA SOKA MIAKA SABA

Wakili Damas Ndumbaro. Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la soka nchi TFF, imemfungia wakili Damas Ndumbaro kujihusisha na mambo ya soka kwa muda wa miaka saba na faini ya kiasi cha pesa. Ndumbaro ambaye aliingia katika mzozo mkubwa na rais wa TFF, Ndugu, Jamal Malinzi wiki iliyopita baada ya TFF kuagiza kila klabu kukatwa asilimia tano za mapato yatokanayo na udhamini wa klabu hizo wanaoupata kutoka kwa Vodacom, wadhamini wakuu...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ......: WAKILI DAMAS NDUMBARO ‘ ATUPWA JELA YA SOKA’ MIAKA SABA

Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la soka nchi TFF, imemfungia wakili Damas Ndumbaro kujihusisha na mambo ya soka kwa muda wa miaka saba na faini ya kiasi cha pesa. Ndumbaro ambaye aliingia katika mzozo mkubwa na rais wa TFF, Ndugu, Jamal Malinzi wiki iliyopita baada ya TFF kuagiza kila klabu kukatwa asilimia tano za mapato yatokanayo na udhamini wa klabu hizo wanaoupata kutoka kwa Vodacom, wadhamini wakuu wa ligi kuu ya Tanzania Bara, na Azam Tv.
Ndumbaro alikimbilia katika vyombo vya habari...

 

10 years ago

Michuzi

Wakili Damas Ndumbaro asema hatma yake TFF kujulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho hilo mwakani

Mwenyekiti wa Kamati ya uchaguzi ya Simba na mjumbe wa Bodi ya Ligi Kuu, Wakili Damas Ndumbaro (pichani) amesema hatma yake ya kujihusisha na masuala ya soka itajulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).  Mkutano huo umepangwa kufanyika mapema mwezi Machi mwakani ambapo ajenda ya mkutano huo ni Kufungua kikao, kuthibitishwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu, kusoma nakuthibitisha ajenda, hotuba ya Rais, kupokea taarifa za utekelezaji za wanachama, kupitisha taarifa za...

 

10 years ago

IPPmedia

Chairman of CA Committee Number Five Hamad Rashid


IPPmedia
Chairman of CA Committee Number Five Hamad Rashid
IPPmedia
A tug of war emerged in the ongoing Constituent Assembly (CA) here yesterday when some debaters suggested that Special Seat posts should remain as they are while others were of the view that the present arrangement should change as proposed in the ...
Voters 'cannot recall their MP'Daily News

all 2

 

10 years ago

IPPmedia

Chairman of the Parliamentary Public Accounts Committee (PAC) and the ...


IPPmedia
Chairman of the Parliamentary Public Accounts Committee (PAC) and the ...
IPPmedia
The government and members of Parliament have unanimously agreed to conduct further investigations on all those implicated in the escrow account saga. Parliament has also approved freezing of all accounts and seizure of properties of all persons ...
In unon, Bunge wants actionDaily News
Tanzanian PM under pressure to resign over alleged fraudulent paymentsThe Guardian
Light Shed On Escrow...

 

11 years ago

Michuzi

DAMAS LYASSA ATANGAZA RASMI VIPAUMBELE KATIKA UCHAGUZI WA URAIS TUCTA

Bw. Dismas Lyassa (katikati)) Mgombea Urais wa TUCTA; Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi akiongea na wanahabari leo.Kupata alichokisema BOFYA HAPA

 

9 years ago

TheCitizen

ELECTION SEASON FUN : Ex-school mate poses as election chances expert

Asking whether it’s proper to salute the person who coined the proverb that ‘mountains don’t meet but people do’ as wise may sound stupid.

 

9 years ago

Africanjam.Com

TANZANIA ELECTION: ZANZIBAR ELECTION HAS BEEN ANNULLED, CLAIMED WAS NOT FREE AND FAIR

Elections in Zanzibar have been annulled for not being free and fair, the electoral chief on the Tanzanian archipelago has announced.Rows between rival electoral commissioners had led to physical fights, Jecha Salum Jecha said.The opposition says the vote on the islands was cancelled because it won.
The main challenger in the national presidential election, Edward Lowassa, said the problems in Zanzibar could be mirrored across the country.Earlier, he called for the national electoral...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ndumbaro ‘jela’ miaka 7

KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ilitangaza kumfungia miaka saba Wakili Dk. Damas Ndumbaru kutojihusisha na masuala ya soka kwa kile kilichoelezwa kuipotosha jamii na wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani