Ndumbaro ‘jela’ miaka 7
KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ilitangaza kumfungia miaka saba Wakili Dk. Damas Ndumbaru kutojihusisha na masuala ya soka kwa kile kilichoelezwa kuipotosha jamii na wadau...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Ndumbaro jela miaka 7 TFF
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ndumbalo--October14-2014.jpg)
Shirikisho la Soka nchini (TFF) limemfungia miaka saba mwanasheria na mdau mkubwa soka nchini Damas Ndumbaro kujihusisha na soka ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa madai kuwa amekiuka Kanuni za Ligi za shirikisho hilo.
Akisoma hukumu hiyo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TFF zilizopo Posta jijini Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu ya shirikisho hilo, Jerome Msemwa, alisema kamati imemtia hatiani mwanasheria huyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZdQOwcR6HaKivVPSGgbEBhknIlVqnDS5NGE1d3uRzai0weL*GGoN62tttqwLdV3ITGWsWmHb7LWq2escwr5Sbk8/3.jpg)
WAKILI DAMAS NDUMBARO ATUPWA JELA YA SOKA MIAKA SABA
10 years ago
Michuzi13 Oct
BREAKING NYUZZZZ......: WAKILI DAMAS NDUMBARO ‘ ATUPWA JELA YA SOKA’ MIAKA SABA
Ndumbaro alikimbilia katika vyombo vya habari...
9 years ago
StarTV03 Nov
Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.
Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)
Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1ULzpAvZYKo/Xr9xyh6fmzI/AAAAAAALqas/u0RRHpM7JAI5cJQruxeGrFrJ1asON_aBwCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25282%2529.jpg)
Mwanaume (45) atupwa jela miaka 30 kwa kosa la kumwingilia kimapenzi mjukuu wake wa miaka 5
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwanaume mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumwingilia kimapenzi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 5 na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni Kumi kwa mwathirika.
Akisoma kesi no 12 ya 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Njombe Hassan Makube amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia hiyo baada ya ushahidi wa daktari...
9 years ago
Habarileo03 Nov
Msichana miaka 15 jela miaka 8 kwa kuua
MSICHANA wa miaka 15 (jina limehifadhiwa) amehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kifungo cha miaka minane jela.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFU0w-AcvcR0yfXHZxJTPmATuaJCDs6-36u-6HQ7egblzi9bKYmKUv1G-g8jeU4ZWcBwJdBa4e-VTBmrcKK-7H1Z/hosni.jpg?width=650)
HOSNI MUBARAK JELA MIAKA 3, WANAE MIAKA 4
11 years ago
Habarileo10 Jan
Watupwa jela miaka 26
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, imehukumu watu sita kwenda jela miaka 26 na wengine miaka 28 kila mmoja, kwa kuingia ndani ya Hifadhi ya Serengeti na Eneo Tegefu la Maswa bila ya kibali.
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Wahukumiwa jela miaka 90