Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndumbaro ‘jela’ miaka 7

KAMATI ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), jana ilitangaza kumfungia miaka saba Wakili Dk. Damas Ndumbaru kutojihusisha na masuala ya soka kwa kile kilichoelezwa kuipotosha jamii na wadau...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ndumbaro jela miaka 7 TFF

Mwanasheria na mdau mkubwa soka nchini,Damas Ndumbaro.
Shirikisho la Soka nchini (TFF) limemfungia miaka saba mwanasheria na mdau mkubwa soka nchini Damas Ndumbaro kujihusisha na soka ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa madai kuwa amekiuka Kanuni za Ligi za shirikisho hilo.

Akisoma hukumu hiyo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TFF zilizopo Posta jijini Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu ya shirikisho hilo, Jerome Msemwa, alisema kamati imemtia hatiani mwanasheria huyo...

 

10 years ago

GPL

WAKILI DAMAS NDUMBARO ATUPWA JELA YA SOKA MIAKA SABA

Wakili Damas Ndumbaro. Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la soka nchi TFF, imemfungia wakili Damas Ndumbaro kujihusisha na mambo ya soka kwa muda wa miaka saba na faini ya kiasi cha pesa. Ndumbaro ambaye aliingia katika mzozo mkubwa na rais wa TFF, Ndugu, Jamal Malinzi wiki iliyopita baada ya TFF kuagiza kila klabu kukatwa asilimia tano za mapato yatokanayo na udhamini wa klabu hizo wanaoupata kutoka kwa Vodacom, wadhamini wakuu...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ......: WAKILI DAMAS NDUMBARO ‘ ATUPWA JELA YA SOKA’ MIAKA SABA

Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la soka nchi TFF, imemfungia wakili Damas Ndumbaro kujihusisha na mambo ya soka kwa muda wa miaka saba na faini ya kiasi cha pesa. Ndumbaro ambaye aliingia katika mzozo mkubwa na rais wa TFF, Ndugu, Jamal Malinzi wiki iliyopita baada ya TFF kuagiza kila klabu kukatwa asilimia tano za mapato yatokanayo na udhamini wa klabu hizo wanaoupata kutoka kwa Vodacom, wadhamini wakuu wa ligi kuu ya Tanzania Bara, na Azam Tv.
Ndumbaro alikimbilia katika vyombo vya habari...

 

9 years ago

StarTV

Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)

Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo  kutokana na  upelelezi  wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...

 

5 years ago

Michuzi

Mwanaume (45) atupwa jela miaka 30 kwa kosa la kumwingilia kimapenzi mjukuu wake wa miaka 5


Na Amiri kilagalila,Njombe

Mwanaume mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumwingilia kimapenzi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 5 na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni Kumi kwa mwathirika.

Akisoma kesi no 12 ya 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Njombe Hassan Makube amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia hiyo baada ya ushahidi wa daktari...

 

9 years ago

Habarileo

Msichana miaka 15 jela miaka 8 kwa kuua

MSICHANA wa miaka 15 (jina limehifadhiwa) amehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kifungo cha miaka minane jela.

 

11 years ago

GPL

HOSNI MUBARAK JELA MIAKA 3, WANAE MIAKA 4

Hosni El Sayed Mubarak . Rais aliyeondolewa madarakani nchini Misri, Muhammad Hosni El Sayed Mubarak amehukumiwa jela miaka mitatu huku wanae wawili Alaa na Gamal wakifungwa miaka minne kila mmoja. Waendesha mashitaka wamesema kuwa Alaa na Gamal waliponda mamilioni ya dola ambazo ni pesa za umma zilizotengwa kukarabati ikulu ya Rais na badala yake wakafanyia ukarabati nyumba zao za kifahari. Watuhumiwa hao wametakiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Watupwa jela miaka 26

MAHAKAMA ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, imehukumu watu sita kwenda jela miaka 26 na wengine miaka 28 kila mmoja, kwa kuingia ndani ya Hifadhi ya Serengeti na Eneo Tegefu la Maswa bila ya kibali.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahukumiwa jela miaka 90

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kifungo cha miaka 90 jela washtakiwa Maulid Dotto, maarufu kama Mau Mchina, Nestory Antony maarufu kama Antony China na Bavon Ernest baada ya kupatikana na atia ya kufanya tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha na wizi wa mali ya Sh3.4 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani