Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watupwa jela miaka 26

MAHAKAMA ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, imehukumu watu sita kwenda jela miaka 26 na wengine miaka 28 kila mmoja, kwa kuingia ndani ya Hifadhi ya Serengeti na Eneo Tegefu la Maswa bila ya kibali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Watupwa jela miaka 60 kwa ujambazi

WA K A Z I wawili wa kijiji cha Kakese, John M w a k a l e - bene (24) na Kamili Lugoye (30) wametiwa hatiani na kuhukumiwa na makakama ya wilaya ya Mpanda mkoani Katavi kwenda jela miaka 60 baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina watupwa jela miaka 20 kwa ujangili

Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Mbeya imewahukumu raia wanne wa China kwenda jela miaka 20 kila mmoja baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na nyara za serikali za thamani ya zaidi Sh900milioni.

 

10 years ago

Habarileo

Watupwa jela miaka 20 kwa meno ya tembo

WAKAZI wawili wa Dar es Salaam, wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela au kulipa faini ya Sh milioni tano kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na meno ya tembo.

 

10 years ago

Habarileo

Mramba, Yona watupwa jela

Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba akiteta na Wakili wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana. Kushoto kwake ni aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona. Picha ndogo kulia ni Mramba na Yona wakipanda kwenye gari la Polisi. (Na Mpigapicha Wetu).VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela.

 

10 years ago

Habarileo

Raia 4 wa Burundi watupwa jela

RAIA wanne wa Burundi wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela kila mmoja, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuishi nchini bila ya kuwa na kibali.

 

10 years ago

Habarileo

22 ‘watupwa’ jela kwa uhamiaji haramu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro imewahukumu wahamiaji haramu 22 kutoka nchini Ethiopia kifungo cha kwenda jela miaka miwili kila mmoja ama kulipa faini ya Sh 50,000 baada ya kupatikana na hatia ya kuingia nchini bila kuwa na kibali cha Seriakali au hati ya kusafiria.

 

10 years ago

Habarileo

Watupwa jela kwa kuishi karibu na chanzo cha mto

MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imewatia hatiani watu 11 kati 21 kwa kuishi karibu na chanzo cha maji cha Mto Mfiri kinyume na sheria.

 

9 years ago

StarTV

Binti wa miaka 15 ahukumiwa jela miaka 8 kwa kuuwa bila kukusudia.

Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es salaam iliyoketi mkoani Morogoro, imemuhukumu kwenda jela miaka nane, Judith Chomile binti mwenye umri wa miaka 15 mwananfunzi wa kidato cha kwanza mara baaada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kuua bila ya kukusudia mtoto mwenzake Andrine Mafwere (9)

Akisoma hukumu hiyo jaji Eliezer Fereshi, amesema mahakama imemtia hatiani mshitakiwa huyo  kutokana na  upelelezi  wa kesi hiyo kukamilika na maelezo ya maafisa ustawi wa jamii na maafisa wa huduma za...

 

5 years ago

Michuzi

Mwanaume (45) atupwa jela miaka 30 kwa kosa la kumwingilia kimapenzi mjukuu wake wa miaka 5


Na Amiri kilagalila,Njombe

Mwanaume mmoja aliejulikana kwa jina la Charles Mwinami (45) mkazi wa kijiji cha Itunduma wilayani Njombe amehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kumwingilia kimapenzi mjukuu wake mwenye umri wa miaka 5 na kutakiwa kulipa fidia ya shilingi Milioni Kumi kwa mwathirika.

Akisoma kesi no 12 ya 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Njombe Hassan Makube amesema mtuhumiwa amekutwa na hatia hiyo baada ya ushahidi wa daktari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani