Mramba, Yona watupwa jela
VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Yona, Mramba jela miaka mitatu
Mawaziri wawili wa zamani, Basil Mramba (Fedha) na Daniel Yona (Nishati na Madini), wamehukumiwa kila mmoja kifungo cha miaka mitatu jela na kulipa faini ya Sh5 milioni baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh11.5 bilioni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaoh01WT5wSix0xw*8ccp7bvM6SIiC-7XHXRgHQ04Z5iN6uVoeZufJd1BYxhWn*Gzt8ZZikk6QfphL2Qqww1cWzD/BREAKING.gif)
MRAMBA, YONA WAHUKUMIWA MIAKA 3 JELA NA FAINI YA MILIONI 5
Basil Mramba (wa pili kulia), Daniel Yona (kushoto), Gray Mgonja (kushoto) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar. MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo imewahukumu kwenda jela miaka mitatu na kulipa faini ya milioni tano aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona huku ikimuachia huru aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja baada ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/1.Basil-Mramba-na-Daniel-Yona-wakiwa-mahakamani-hapo-leo..jpg)
YONA, MRAMBA KWENDA JELA MIAKA 2 BILA FAINI
Basil Mramba na Daniel Yona wakiwa Mahakama Kuu ya Tanzania kusikiliza rufaa yao. Daniel Yona akiteta jambo na mmoja wa mawakili mahakamani hapo. Ndugu wa Daniel Yona wakimsalimia mara baada ya kufika mahakamani hapo. Yona akiwasiliana na ndugu zake. MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam leo imetoa hukumu ya rufaa dhidi ya mawaziri wa zamani, Bazil Mramba na Daniel Yona waliohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s72-c/IMG-20150706-WA0017.jpg)
MAHAKAMA YAWAHUKUMU MRAMBA NA YONA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA
![](http://2.bp.blogspot.com/-rrMSSgYbxcc/VZrCHWy4S_I/AAAAAAABRQg/gbOOQIitxLA/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mBX0L__SGJo/VZrCHQ3_MYI/AAAAAAABRQk/xvrNsKfs7vM/s640/IMG-20150706-WA0021.jpg)
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumwenyi pamoja na Hakimu Saul Kinemela ambapo mtuhumiwa wa tatu wa kesi hiyo, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja amekutwa hana hatia.
Washitakiwa hao walikuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
BREAKING NEWSSSS: Basil MRAMBA NA Daniel YONA WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3. Grey Mngonja huru
![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5tWXbxAUuPo/VZpvmJY22FI/AAAAAAAHnRA/WsWRa7gzewc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCEo0sFcY4I/VZp0_O9kIJI/AAAAAAAHnSA/4S41A0Tigbc/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
10 years ago
GPLMRAMBA, YONA WAKESHA...
Mramba (kushoto) akiteta jambo na wakili wake, Peter Swai baada ya Mahakama kumhukumu miaka mitatu jela na faini ya shilingi milioni tano. Harun sanchawa na denis mtima
JOTO ya jiwe! Wafungwa wawili wapya katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam, Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na mwenzake wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanadaiwa kukesha huku wakilia katika siku wakianza kutumikia kifungo chao cha miaka...
10 years ago
TheCitizen08 Jul
Mramba, Yona jailed
Dar es Salaam. There were audible groans of disbelief and visible freely-flowing tears at the Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday after former cabinet ministers Basil Mramba, 75, and Daniel Yona, 76, were sentenced to serve three years in jail for abuse of office and causing Sh11.7 billion loss to the government.
9 years ago
IPPmedia03 Oct
Mramba, Yona get jail relief.
IPPmedia
The High Court has partially withheld appeals by former cabinet Ministers Basil Mramba (75) and Daniel Yona (76), reducing three-year imprisonment term to two years and overturning the Sh5m fine sentence ruled by the Kisutu Magistrate Court earlier in ...
10 years ago
IPPmedia25 Jul
Mramba, Yona appeal against imprisonment.
IPPmedia
Two former cabinet ministers, Basil Mramba and Daniel Yona, recently sentenced to serve three years in jail, yesterday filed an appeal against the ruling at the High Court of Tanzania. The two were accused of abusing office and causing a Sh11.7 billion ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania