Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete aeleza ndoto yake baada ya urais

RAIS Jakaya Kikwete ameeleza ndoto yake baada ya muda wake wa urais kumalizika, kuwa ataanzisha taasisi ya maendeleo, itakayosimamia midahalo, semina na kongamano kwa maendeleo ya taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

9 years ago

CCM Blog

DK. MAGUFULI NA RAIS KIKWETE IKULU BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA URAIS KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU LEO

ma1Rais Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii mag2Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila pembe ya dunia  mshindi wa ...

 

9 years ago

Mwananchi

Ndoto za wagombea urais

W agombea urais John Magufuli (CCM), Edward Lowassa (Chadema) na Anna Mghwira (ACT-Wazalendo), wanaendelea kuomba ridhaa ya Watanzania ili kuunda Serikali ya Awamu ya Tano, huku kila mmoja akija na sera anayoamini kuwa ni nzuri na tofauti  na mwenzake.

 

9 years ago

Mwananchi

Zitto: Bado nina ndoto ya urais

Kiongozi wa ACT –Wazalendo, Zitto Kabwe amesema atagombea urais baada ya miaka mitano ijayo.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa anaendeleza ndoto yake

Kama kuna mwanasiasa ambaye amedhamiria kuona mwisho wa ndoto yake, basi ni Edward Ngoyai Lowassa, Waziri Mkuu wa kwanza wa Serikali ya Awamu ya Nne na mbunge wa Monduli.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Yaya Toure atatimiza ndoto yake?

Mcheza kiungo cha kati wa Ivory Coast Yaya Toure, anasema kuwa itakuwa ndoto yake kwa timu ya Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia nchini Brazil.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anaweza kufikia ndoto yake

ASILIMIA kubwa ya watu ukiwauliza kuhusu ndoto zao za baadaye, utashangazwa na mambo makubwa waliyoyabeba moyoni na kwenye fikra zao. Ni wachache kati ya hao ambao watafanya maamuzi ya kuchukua...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Tanzania 2020: Ndoto ya urais ya Membe imeota mbawa?

Je, Benard Membe ataweza kutafuna mfupa uliomshinda Mrema na Lowassa?

 

10 years ago

Mwananchi

URAIS CCM: Ndoto ya Membe bado ipo upande wake

Dar es Salaam. Kwa mtazamo wa wengi, ilionekana dhahiri kwamba Berbard Membe alikuwa miongoni mwa wanaCCM wenye nguvu kubwa walioomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani