Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa anaendeleza ndoto yake

Kama kuna mwanasiasa ambaye amedhamiria kuona mwisho wa ndoto yake, basi ni Edward Ngoyai Lowassa, Waziri Mkuu wa kwanza wa Serikali ya Awamu ya Nne na mbunge wa Monduli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Lowassa, mwanzo au mwisho wa ndoto zake?

>Jioni ya Januari 25, 1965 wakati Waingereza walipomzika Waziri Mkuu wao maarufu wa zamani, Winston Churchill katika makaburi ya St Martin’s Church, Bladon eneo la Oxford ilimaanisha kuwa Waingereza walikuwa wanamzika mmoja wa wanasiasa wazuri waliowahi kutoa tafsiri nzuri ya neno siasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Yaya Toure atatimiza ndoto yake?

Mcheza kiungo cha kati wa Ivory Coast Yaya Toure, anasema kuwa itakuwa ndoto yake kwa timu ya Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia nchini Brazil.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anaweza kufikia ndoto yake

ASILIMIA kubwa ya watu ukiwauliza kuhusu ndoto zao za baadaye, utashangazwa na mambo makubwa waliyoyabeba moyoni na kwenye fikra zao. Ni wachache kati ya hao ambao watafanya maamuzi ya kuchukua...

 

9 years ago

Vijimambo

Kilichofanyika mpaka Lowassa akatua CHADEMA na kufuta ndoto ya Dk. Slaa

USIKU wa Julai 10, 2015, Edward Lowassa, alipokea simu aliyoifahamu vema. Upande wa pili wa simu alizungumza mtu mwenye sauti nzito; Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). “ Mzee, nakukaribisha Chadema ili uongeze nguvu Ukawa”. Ndiyo ujumbe mfupi ambao Mbowe alimpa Lowassa siku hiyo.
Ni mazungumzo hayo ya Julai 10, ndiyo hatimaye yalimfikisha Waziri Mkuu huyo wa kwanza wa serikali ya Awamu ya Nne kwenye uamuzi wa kujiunga na Chadema mnamo Julai 28 mwaka huu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kijana anapokata tamaa hupoteza ndoto yake

KATIKA maisha ya kila siku tunahimizwa kuwa tukipata tufurahi na tukikosa tutafakari. Kushindwa kunafananishwa na giza linalotangulia mbele ya mwanga wa kushinda, ambapo ndiyo mafanikio yenyewe yalipo. Juhudi kubwa ni...

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aeleza ndoto yake baada ya urais

RAIS Jakaya Kikwete ameeleza ndoto yake baada ya muda wake wa urais kumalizika, kuwa ataanzisha taasisi ya maendeleo, itakayosimamia midahalo, semina na kongamano kwa maendeleo ya taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa na ndoto za viatu vya baba yake Kalenga

GODFREY Mgimwa ni mwanasiasa kijana ambaye jina lake limevuma hivi karibuni baada ya kujitokeza kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, ambalo lilikuwa linawakilishwa na baba...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE MGIMWA ACHANGIA VICOBA TANANGOZI ,ASEMA NDOTO YAKE KUWA NA BENKI YA WANANCHI WA JIMBO LA KALENGA

Wanachama  wa  kikundo cha  VICOBA cha  Lukindo woman Group wakimvisha  mavazi ya uchif mbunge wa  jimbo la kalenga Bw Godfrey Mgimwa baada ya  kufurahishwa na jitihada zake  jimboni  humoWanachama  wa  VICOBA  Tanangozi  Kalenga  wakimshangilia mbunge  wa  jimbo la kalenga Godfrey MgimwaMbunge wa   jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa katikati akipokelewa kijiji cha Tanangozi wakati  wa harambee ya  kuchangia VICOBA.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

10 years ago

Habarileo

Lowassa aanza safari yake

Aliyekuwa Waziri Mkuu, Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akihutubia umati wa wananchi mjini Arusha jana wakati akitangaza nia ya kuomba ridhaa ya CCM kumteua agombee Urais. (Na Mpigapicha Wetu).ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowassa, ametangaza nia ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ili awe mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani