MSHINDI WA TUZO YA MWANAMAKUKA AKATIWA BIMA YA KULINDA BIASHARA YAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-W1Pi5Of2Cpg/UywDb8M8HiI/AAAAAAACdJM/q3zMDAx0KPM/s72-c/20140320_120840-1.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Fortis Insurance Brokers Ltd , Bi Maryam Shamo.( wa pili Kulia) akimkabidhi Mshindi wa mwanamakuka 2014, nyaraka zake za Bima. Wengine ni wafanyakazi wa kampuni hio.
Mshindi wa Mwanamakuka 2014, Bi Leyla Mwambungu, baada ya kujinyakulia Tuzo ya Million Tatu, kweye Tuzo za Mwanamakuka Awards, ambazo zinaandaliwa na Unity Of Women Friends. Fortis Insurance Brokers Ltd, Imeamua kulinda Biashara yake Kuwa kwa kumkatia Bima ya Moto Na Wizi, Ili Biashara yake isije...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_PfaARdecWo/Vj7-4cmt_II/AAAAAAAIE3I/ILyR87-Udo0/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Mshindi wa Jaymillions na mafanikio yake: Ajenga nyumba ya kisasa na kuishi na familia yake goba, kufungua biashara
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JBk-XvRchE0/U_uvlmIj4_I/AAAAAAACoJ0/dy00GGi1WW8/s72-c/Mwanamakuka.jpg)
ALIYEKUWA MSHINDI WA SHINDANO LA MWANAMAKUKA 2013 AFARIKI DUNIA JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-JBk-XvRchE0/U_uvlmIj4_I/AAAAAAACoJ0/dy00GGi1WW8/s1600/Mwanamakuka.jpg)
10 years ago
MichuziUNITY OF WOMEN FRIENDS (UWF) WAMKUMBUKA ALIYEKUWA MSHINDI WA SHINDANO LA MWANAMAKUKA 2013
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/--lhFh87OC4Q/UykUfUSfIoI/AAAAAAACc48/5Y9Z2uB_GfA/s1600/New+Picture+%282%29.png)
TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Airtel yadhamini Tuzo ya Mwanamakuka 2014
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza kudhamini tuzo za Mwanamakuka zenye lengo la kusaidia wanawake kutoka katika maeneo mbalimbali kujiinua kiuchumi. Tuzo hizo zinaandaliwa na The Unity of...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s72-c/New+Picture+(10).png)
PICHA ZA TUKIO LA TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s1600/New+Picture+(10).png)
Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends Bi.Mariam Shamo,mwishoni Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa benki ya Wanawake,Bi Magreth Chacha.Hafla hiyo iliofana kwa kiasi kikubwa ilifanyika kwenye kiota cha maraha cha Escape One,Mikocheni jijini Dar mwishoni mwa wiki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKcO7FuvqPQ/UykS2U5br_I/AAAAAAACc4c/Ld8VW6Yt1d0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-toLwYceeN9w/UykTG3pxDJI/AAAAAAACc4k/e1KI9j7Yvhk/s1600/New+Picture+(6).png)
11 years ago
Michuzi17 Feb
BENKI YA WANAWAKE TANZANIA YAJITOSA KUPIGA JEKI MAANDALIZI YA TUZO YA MWANAMAKUKA 2014
11 years ago
MichuziAIRTEL yakabidhi shilingi million Tano kwa wanawake kwa ajili ya Tuzo ya Mwanamakuka 2014
Afisa uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde (kushoto) akimkabithi mfano wa hundimwenyekiti na Mratibu wa Mradi wa The Unity of Women friends Maryam Shamo wakati wa halfa ya Tuzo za Mwanamakuka 2014 ambapo Airtel Tanzania ni moja kati ya Wadhamini wa tuzo hizo, Bi Leil Mwambungu aliibuka na kutangazwa mshindi wa mwanamakuka 2014. Akishuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Bank ya Wanawake Tanzania Bi Margreth Chacha (wakwanza kulia), Hafla ya mwanamakuka ilifanyika jana katika ukumbi wa Escape 1...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s72-c/0.1UAP5.jpg)
KIWANDA CHA PAMBA AMBACHO PAMBA YAKE ILITEKETEA KWA MOTO MKOANI SHINYANGA CHAPATA BIMA YAKE TOKA UAP
![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s640/0.1UAP5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--6W2I83BmfI/VUxLgrxAv4I/AAAAAAABNqs/d1k3pQncsqY/s640/0.1UAP3.jpg)