Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anavyojikimu kupitia kwa plastiki Kenya

Lorna Rutto mwanzilishi wa kampuni ya Ecopost inayofanya shughuli ya kubadili taka taka kuwa utajiri barani Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Saratani inavyoenezwa kwa samaki waliokaushwa kwa moshi wa plastiki

Njia za jadi za kuhifadhi samaki na nyama kwa muda mrefu ni kukausha kwa moshi. Ingawa kwa sasa dunia imepiga hatua kubwa katika teknolojia ya kuhifadhi vyakula kwa njia za kisasa kama vile matumizi ya majokofu na usindikaji, baadhi ya watu hasa katika maeneo ya vijijini bado wanatumia njia ya kuhifadhi samaki na nyama kwa kuzikausha kwa kutumia moshi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi Kiteto wazalishwa kwa mifuko ya plastiki

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Haya ndiyo yanayojiri katika Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara ambako baadhi ya wakunga wa jadi huvaa mifuko ya plastiki maarufu kama ‘rambo au malboro’, mikononi ili kuwahudumia kina mama wakati wa kujifungua.

 

11 years ago

Mwananchi

Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’

Kijana mwenye umri wa miaka 23 amejikuta katika wakati mgumu, baada ya kuathiriwa na tabia ya kula mifuko na bidhaa za plastiki.

 

10 years ago

Mwananchi

UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara

>Baadhi ya wananchi na viongozi wao wanatetea nafasi ya wakunga kusaidia wajawazito kujifungua mkoani Manyara na wapo wataalamu wa afya ambao wanawatizama wakunga kama kundi lisilohitajika katika mchakato mzima wa afya ya mama na mtoto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Westgate:Msusi aliyenusurika anavyojikimu

Huku Kenya ikiadhimisha mwaka mmoja tangu shambulizi la kigaidi la Westgate jijini Nairobi. Je maisha ya waathiriwa yakoje

 

5 years ago

BBCSwahili

Asha Bakari: Msusi asiyekuwa uwezo wa kuona anavyojikimu kimaisha Uganda

Kama wasemavyo ulemavu sio kutojiweza na pia kuna walio na ulemavu ambao wanaweza kuchangia pakubwa katika kuboresha maisha ya wenzao.

 

11 years ago

Ykileo

WANAOTUMA JUMBE ZA NGONO KUPITIA SIMU KUFUNGWA JELA NCHINI KENYA

Kwa mujibu wa tovuti ya "BBC SWAHILI"  Serikali ya Kenya imesema watu watakaopatikana na hatia ya kutuma ujumbe wa kingono kwa kutumia simu za kiganjani na intaneti watafungwa Jela.
Adhabu hiyo itawahusu wale wanaotuma ujumbe wenye picha za watu walio uchi na zenye mada ya ngono nchini humo.

Maafisa wakuu wa serikali wanasema kuwa yeyote atakayepatikana na hatia atafungwa jela kifungo cha miezi mitatu kwenda chini.


Afisa mkuu kutoka tume ya mawasiliano ya Kenya , Christopher Wambua,...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Vanessa Mdee atumbuiza live kupitia Citizen TV ya Kenya kutoka Dar

Kituo cha runinga cha Citizen cha nchini Kenya kimefanya mahojiano ya moja kwa moja na Vanessa Mdee kutoka Dar es Salaam. We’re live from Dar Es Salam! Today we’ve got the gorgeous Venessa Mdee on the show #PowerBreakfast pic.twitter.com/6O7HN9mKPn — Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) October 23, 2015 Kwenye kipindi hicho cha asubuhi cha Power Breakfast, […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mifuko ya plastiki inavyotengeza matofali na vigae

Nancy alipata ujuzi mtandaoni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani