Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi Kiteto wazalishwa kwa mifuko ya plastiki

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Haya ndiyo yanayojiri katika Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara ambako baadhi ya wakunga wa jadi huvaa mifuko ya plastiki maarufu kama ‘rambo au malboro’, mikononi ili kuwahudumia kina mama wakati wa kujifungua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara

>Baadhi ya wananchi na viongozi wao wanatetea nafasi ya wakunga kusaidia wajawazito kujifungua mkoani Manyara na wapo wataalamu wa afya ambao wanawatizama wakunga kama kundi lisilohitajika katika mchakato mzima wa afya ya mama na mtoto.

 

11 years ago

Mwananchi

Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’

Kijana mwenye umri wa miaka 23 amejikuta katika wakati mgumu, baada ya kuathiriwa na tabia ya kula mifuko na bidhaa za plastiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mifuko ya plastiki inavyotengeza matofali na vigae

Nancy alipata ujuzi mtandaoni

 

5 years ago

Michuzi

TANI 31 ZA MIFUKO YA PLASTIKI KUTEKEKEZWA SONGWE


Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila mapema leo akizindua zoezi la uteketezaji wa mifuko ya plastiki ambapo tani 9 kati ya 31 zimeteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
Sehemu ya tani 9 kati ya 31 za Mifuko ya plastiki ikiteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
Maafisa wa Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe wakihakikisha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali yatakiwa kufunga viwanda vya mifuko ya plastiki’

MBUNGE wa Viti Maalum, Maryam Msabaha (CHADEMA), ameitaka serikali kuvifungia viwanda vyote nchini vinavyozalisha mifuko ya plastiki kutokana na kuchafua mazingira. Kauli hiyo aliitoa bungeni jana wakati akiuliza swali la...

 

11 years ago

Mwananchi

Hatari: Uchomaji mifuko ya plastiki hushusha kinga za mwili, huathiri akili

Maendeleo ya sayansi na teknolojia pamoja na kuongezeka kwa mahitaji ya vifungashio vya bidhaa viwandani, mauzo ya rejareja maduka na kwenye masoko, kumeongeza matumizi ya mifuko ya plastiki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wahudumu wa Afya watumia mifuko ya plastiki kijikinga

Madaktari nchini Uingereza wanalazimika kutumia njia mbadala kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona kwa kuvaa mavazi ya mifuko ya plastiki, aproni za plastiki, na miwani ya jua.

 

9 years ago

Mwananchi

Saratani inavyoenezwa kwa samaki waliokaushwa kwa moshi wa plastiki

Njia za jadi za kuhifadhi samaki na nyama kwa muda mrefu ni kukausha kwa moshi. Ingawa kwa sasa dunia imepiga hatua kubwa katika teknolojia ya kuhifadhi vyakula kwa njia za kisasa kama vile matumizi ya majokofu na usindikaji, baadhi ya watu hasa katika maeneo ya vijijini bado wanatumia njia ya kuhifadhi samaki na nyama kwa kuzikausha kwa kutumia moshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Anavyojikimu kupitia kwa plastiki Kenya

Lorna Rutto mwanzilishi wa kampuni ya Ecopost inayofanya shughuli ya kubadili taka taka kuwa utajiri barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani