Wazazi Kiteto wazalishwa kwa mifuko ya plastiki
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Haya ndiyo yanayojiri katika Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara ambako baadhi ya wakunga wa jadi huvaa mifuko ya plastiki maarufu kama ‘rambo au malboro’, mikononi ili kuwahudumia kina mama wakati wa kujifungua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Oct
UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
5 years ago
MichuziTANI 31 ZA MIFUKO YA PLASTIKI KUTEKEKEZWA SONGWE
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila mapema leo akizindua zoezi la uteketezaji wa mifuko ya plastiki ambapo tani 9 kati ya 31 zimeteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
Sehemu ya tani 9 kati ya 31 za Mifuko ya plastiki ikiteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
Maafisa wa Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe wakihakikisha...
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
‘Serikali yatakiwa kufunga viwanda vya mifuko ya plastiki’
MBUNGE wa Viti Maalum, Maryam Msabaha (CHADEMA), ameitaka serikali kuvifungia viwanda vyote nchini vinavyozalisha mifuko ya plastiki kutokana na kuchafua mazingira. Kauli hiyo aliitoa bungeni jana wakati akiuliza swali la...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Hatari: Uchomaji mifuko ya plastiki hushusha kinga za mwili, huathiri akili
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Wahudumu wa Afya watumia mifuko ya plastiki kijikinga
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Saratani inavyoenezwa kwa samaki waliokaushwa kwa moshi wa plastiki
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Anavyojikimu kupitia kwa plastiki Kenya