‘Serikali yatakiwa kufunga viwanda vya mifuko ya plastiki’
MBUNGE wa Viti Maalum, Maryam Msabaha (CHADEMA), ameitaka serikali kuvifungia viwanda vyote nchini vinavyozalisha mifuko ya plastiki kutokana na kuchafua mazingira. Kauli hiyo aliitoa bungeni jana wakati akiuliza swali la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Wahudumu wa Afya watumia mifuko ya plastiki kijikinga
Madaktari nchini Uingereza wanalazimika kutumia njia mbadala kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona kwa kuvaa mavazi ya mifuko ya plastiki, aproni za plastiki, na miwani ya jua.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Watishia kufunga viwanda vya bia na vya pombe kali
Watengenezaji wa bia na vinywaji vikali, wametishia kufunga baadhi ya viwanda iwapo Serikali haitaipunguza ongezeko la kodi la asilimia 20 iliyolipishwa kinyume na tozo ya asilimia 10 iliyopitishwa na Bunge.
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S5hqL_NRJJ8/XmM41PBAAnI/AAAAAAALhrw/-r8nUS4fGRIEhoEhlvPcVP13C2Jbb8WkACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
TANI 31 ZA MIFUKO YA PLASTIKI KUTEKEKEZWA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-S5hqL_NRJJ8/XmM41PBAAnI/AAAAAAALhrw/-r8nUS4fGRIEhoEhlvPcVP13C2Jbb8WkACLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila mapema leo akizindua zoezi la uteketezaji wa mifuko ya plastiki ambapo tani 9 kati ya 31 zimeteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2..jpg)
Sehemu ya tani 9 kati ya 31 za Mifuko ya plastiki ikiteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3..jpg)
Maafisa wa Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe wakihakikisha...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Wazazi Kiteto wazalishwa kwa mifuko ya plastiki
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Haya ndiyo yanayojiri katika Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara ambako baadhi ya wakunga wa jadi huvaa mifuko ya plastiki maarufu kama ‘rambo au malboro’, mikononi ili kuwahudumia kina mama wakati wa kujifungua.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA AMETOA WITO KWA WAWEKEZAJI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA VYA KUTENGEZA BARAKOA NA VITASA MKONO, SERIKALI KUTOA USHIRIKIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-vTz-F4DwlYU/Xp6DjK_HDVI/AAAAAAALnpw/V6vELiYQkOImsmA-hf2PVbGNkuojhaYFgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbC164QI4Do/Xp6DizYcBGI/AAAAAAALnps/6ImHPyXN7SENZIV-B_Hx1AVXEEg8JEwyACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’
Kijana mwenye umri wa miaka 23 amejikuta katika wakati mgumu, baada ya kuathiriwa na tabia ya kula mifuko na bidhaa za plastiki.
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Hatari: Uchomaji mifuko ya plastiki hushusha kinga za mwili, huathiri akili
Maendeleo ya sayansi na teknolojia pamoja na kuongezeka kwa mahitaji ya vifungashio vya bidhaa viwandani, mauzo ya rejareja maduka na kwenye masoko, kumeongeza matumizi ya mifuko ya plastiki.
10 years ago
Mwananchi25 Oct
UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara
>Baadhi ya wananchi na viongozi wao wanatetea nafasi ya wakunga kusaidia wajawazito kujifungua mkoani Manyara na wapo wataalamu wa afya ambao wanawatizama wakunga kama kundi lisilohitajika katika mchakato mzima wa afya ya mama na mtoto.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania