TANI 31 ZA MIFUKO YA PLASTIKI KUTEKEKEZWA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-S5hqL_NRJJ8/XmM41PBAAnI/AAAAAAALhrw/-r8nUS4fGRIEhoEhlvPcVP13C2Jbb8WkACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila mapema leo akizindua zoezi la uteketezaji wa mifuko ya plastiki ambapo tani 9 kati ya 31 zimeteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
Sehemu ya tani 9 kati ya 31 za Mifuko ya plastiki ikiteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
Maafisa wa Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe wakihakikisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Wazazi Kiteto wazalishwa kwa mifuko ya plastiki
10 years ago
Tanzania Daima07 Nov
‘Serikali yatakiwa kufunga viwanda vya mifuko ya plastiki’
MBUNGE wa Viti Maalum, Maryam Msabaha (CHADEMA), ameitaka serikali kuvifungia viwanda vyote nchini vinavyozalisha mifuko ya plastiki kutokana na kuchafua mazingira. Kauli hiyo aliitoa bungeni jana wakati akiuliza swali la...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Wahudumu wa Afya watumia mifuko ya plastiki kijikinga
10 years ago
Mwananchi25 Oct
UZAZI: Wanawake wazalishwa kwa kutumia mifuko ya plastiki mkoani Manyara
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Hatari: Uchomaji mifuko ya plastiki hushusha kinga za mwili, huathiri akili
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Watumia plastiki badala ya kondomu Uganda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NlW-ckz1MMV3h8hRIXqC5JNHvyOnoJmPQZJuMj0ucwNnJbuK*EmLHQcdH63HmztlMoCW8ahHRMVBHku0fhdjppM/IMG_20150102_165635.jpg?width=650)
MTOTO HUYU ANAISHI NA UTUMBO WA PLASTIKI