Watumia plastiki badala ya kondomu Uganda
Waganda wanatumia kondomu bandia “buveera- kutokana na mifuko ya plastiki kutokana na uhaba wa Kondomu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 May
Truvada yatumika kuzuia Ukimwi badala ya kondomu
Wanawake wanaofanya biashara ya kuuza miili na wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja sasa wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi aina ya Truvada kwa ajili ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo badala ya kutumia mipira ya kondomu.
11 years ago
Habarileo04 Jun
Wanawake Rukwa watumia kondomu kama bangili
BAADHI ya wanawake mkoani Rukwa wamebadili matumizi ya kondomu za kike kwa kuzivaa kama urembo wa bangili.
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Wahudumu wa Afya watumia mifuko ya plastiki kijikinga
Madaktari nchini Uingereza wanalazimika kutumia njia mbadala kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona kwa kuvaa mavazi ya mifuko ya plastiki, aproni za plastiki, na miwani ya jua.
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Kondomu yenye umbo la chupi Uganda
Kondomu hii ina umbo la suruali ya ndani ya wanawake, Inaweza kuvaliwa siku nzima na wanawake sawa na chupi aina ya ''g-string''
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Ngono badala ya chakula nchini Uganda
Baadhi ya wananchi wa Uganda wametoa maoni tofauti kufuatia kauli ya Waziri anayehusika na maadili nchini humo Dokta Simon Lokodo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NlW-ckz1MMV3h8hRIXqC5JNHvyOnoJmPQZJuMj0ucwNnJbuK*EmLHQcdH63HmztlMoCW8ahHRMVBHku0fhdjppM/IMG_20150102_165635.jpg?width=650)
MTOTO HUYU ANAISHI NA UTUMBO WA PLASTIKI
Mtoto mwenye matatizo ya tumbo, Suleiman Abdallah. Makala: Shani Ramadhani WANAMKE mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Veronica Laurent, mkazi wa Magomeni Mwembechai, jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu kwa kutelekezwa na mzazi mwenzie baada ya kujifungua mtoto akiwa na matatizo ya utumbo. CHOO CHATOKEA MDOMONI
Akizungumza na mwandishi wetu Veronica alisema mwanaye Suleiman Abdallah (4), alipozaliwa tu, choo chake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S5hqL_NRJJ8/XmM41PBAAnI/AAAAAAALhrw/-r8nUS4fGRIEhoEhlvPcVP13C2Jbb8WkACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
TANI 31 ZA MIFUKO YA PLASTIKI KUTEKEKEZWA SONGWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-S5hqL_NRJJ8/XmM41PBAAnI/AAAAAAALhrw/-r8nUS4fGRIEhoEhlvPcVP13C2Jbb8WkACLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila mapema leo akizindua zoezi la uteketezaji wa mifuko ya plastiki ambapo tani 9 kati ya 31 zimeteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2..jpg)
Sehemu ya tani 9 kati ya 31 za Mifuko ya plastiki ikiteketezwa katika kichomea taka kilichopo katika Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3..jpg)
Maafisa wa Mgodi wa Dhahabu wa Shanta New Luika uliopo Wilayani Songwe wakihakikisha...
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
10 years ago
BBCSwahili11 Nov
Anavyojikimu kupitia kwa plastiki Kenya
Lorna Rutto mwanzilishi wa kampuni ya Ecopost inayofanya shughuli ya kubadili taka taka kuwa utajiri barani Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania