Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Truvada yatumika kuzuia Ukimwi badala ya kondomu

Wanawake wanaofanya biashara ya kuuza miili na wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja sasa wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi aina ya Truvada kwa ajili ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo badala ya kutumia mipira ya kondomu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

TRUVADA yatumika kuzuia UKIMWI

WANAWAKE wanaofanya biashara ya kuuza miili na wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja sasa wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi aina ya Truvada pichani juu kwa ajili ya kuzuia maambukizi ya ugonjwa huo badala ya kutumia mipira ya kondomu. Baadhi ya wafanyabiashara ya ngono jijini katika maeneo ya Mwananyamala Hospitali, Komakoma na Vingunguti ambao walisema kuwa wanatumia dawa hizo kwa ajili ya kuzuia maambukizi ya VVU ili kuwaridhisha wateja wasiopendelea mipira...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watumia plastiki badala ya kondomu Uganda

Waganda wanatumia kondomu bandia “buveera- kutokana na mifuko ya plastiki kutokana na uhaba wa Kondomu

 

11 years ago

Mwananchi

Tupeni ukweli kuhusu dawa ya Truvada

Yapo matumaini makubwa ya kukabiliana na janga la Ukimwi kama wananchi watakubali kuwa mstari wa mbele kupambana na adui huyo mkubwa anayeingia nyumbani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Gesi ya chlorine yatumika Syria

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linasema kuwa gesi ya chlorine ilitumika kwenye shambulizi mwezi uliopita nchini Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sidiria yatumika kusafirisha 'unga'

Mwanamke muuza dawa za kulevya anakabiliwa na adhabu ya kifungo baada ya kukutwa amesheheni dawa za kulevya katika sidiria yake

 

9 years ago

BBCSwahili

Uhaba wa kondomu Zanzibar ?

Kondomu imeonekana kuwa ni bidhaa adimu mjini Unguja visiwani Zanzibar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sumu yatumika kuua ndovu 60 Zimbabwe

Wawindaji haramu wamewaua ndovu 60 kwa kutumia sumu aina ya Cynide katika mbuga kubwa ya wanyama nchini Zimbabwe

 

11 years ago

Habarileo

Bunduki ya FFU yatumika kwenye ujambazi

TUKIO la ujambazi ambalo liliua watu watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi, limechukua sura mpya baada ya silaha waliyokuwa wakitumia majambazi hao kugundulika kuwa ilikuwa ikimilikiwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), Sospeter Peter Manyika ambaye kwa sasa yuko rumande.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani