MTOTO HUYU ANAISHI NA UTUMBO WA PLASTIKI
![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NlW-ckz1MMV3h8hRIXqC5JNHvyOnoJmPQZJuMj0ucwNnJbuK*EmLHQcdH63HmztlMoCW8ahHRMVBHku0fhdjppM/IMG_20150102_165635.jpg?width=650)
Mtoto mwenye matatizo ya tumbo, Suleiman Abdallah. Makala: Shani Ramadhani WANAMKE mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Veronica Laurent, mkazi wa Magomeni Mwembechai, jijini Dar, amejikuta kwenye wakati mgumu kwa kutelekezwa na mzazi mwenzie baada ya kujifungua mtoto akiwa na matatizo ya utumbo. CHOO CHATOKEA MDOMONI Akizungumza na mwandishi wetu Veronica alisema mwanaye Suleiman Abdallah (4), alipozaliwa tu, choo chake...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6ncOs5Axj4p3434HGYkQX-ZIwiEF3rrWfmfpzY*aNjspH552ezBD7oBT7iw0cPJL6zIW3XYASc1VnKEldywb1mey/Mtoto10000.gif?width=650)
MASKINI MTOTO HUYU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeBNbLDIhnXrbQnXnTva1t6FlBwzybRcF*6C0wsGI0ipXuk-XyUuohEHY96D3FCufGLgldPOIUsORwpidjgSGVA6/proxy.jpg?width=650)
MSAIDIE MTOTO HUYU AWEZE KUTIBIWA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s72-c/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
MTOTO HUYU ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s400/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
Kwa mujibu wa mzazi wa mwanafunzi huyo, Joyce Nchimbi, alisema mtoto huyo alitoweka nyumbani miezi mitatu iliyopita akiwa amevaa nguo hiyo.
Alisema mara ya mwisho alionekana mitaa ya Railways akiwa na wanafunzi wenzake lakini baada ya hapo hajaonekana tena.
Joyce alisema juhudi za kumtafuta mtoto huyo kwa ndugu na jamaa hazikufanikiwa na kutoa taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIsGb31jb1pmkeHwOMnaRvSTWz3z0bqcWtUMDp1j7KvJw0w15l-f96n3t2k*JnfY5bxRSHIldMzik6uTZYOHuXvZ/BACK.jpg)
KIFO CHA MTOTO HUYU KINAUMA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyVOgECoTu2gmg5copGMdb6iqdRVq9PjZIWD-zQJueOUOKvRhJF2o-jbh6GFcySiHk5C2gBReB0bJ2VGoctxamD/FRONTUWAZI.gif?width=650)
HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycNYICAjxOj-CfSH0Cx1hCgtS5QcFm49L-QAUP-vlfoz75ctEJjvHMoeH9Lo5U-RrFiN8pwnKu4XWFn9ZvPF7LO5/MTOTO.gif)
MASKINI! UGONJWA WA FIGO UNAVYOMTESA MTOTO HUYU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6a*gQcMv6WfEz7GRG-6YJehp8OLI3i1WIgrVOpUDgeQoG-Z6UOq*ASlVvh6Y-C3UW36PqOb3PK*4uiNbS*hoFe*/FRONTWIKIENDA.jpg?width=650)
POLISI WA KIKE ANAYEDAIWA KUIBA MTOTO, HUYU HAPA!
10 years ago
Dewji Blog18 Mar
Mtoto mdogo wa Kitanzania mwenye IQ kubwa huyu hapa
Na Andrew Chale wa modewji blog
Huenda umesikia mengi juu ya watu wenye uwezo mkubwa wa kiakili na ufahamu hasa wa mambo ama IQ kubwa.
Kwa Tanzania mtoto mwenye IQ kubwa kwa ni Mtoto Nice Valentino mwenye umri wa miaka 3, (Pichani) ameweza kuonesha uwezo mkubwa wa kukariri mambo.
kwa mujibu wa kituo cha Cloud FM cha Tanzania, kimenukuu maelezo kadhaa ikiwemo ya Baba wa mtoto huyo, alieleza kuwa, mtoto huyo alianza kuonesha uwezo tokea akiwa na miezi sita (mtoto mchanga) kwa kufanya vitu...
10 years ago
MichuziMSAADA TUTANI ILI KUOKOA UHAI WA MTOTO HUYU
Mama mzazi wa Mtoto Bi. Zainabu Mustafa Rajab,alisema kuwa Binti yake huyo alizaliwa April 24 mwaka huu katika hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Tunduru,na kwambatatizo hilo la kuanza kukua kwa...