MSAIDIE MTOTO HUYU AWEZE KUTIBIWA
![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeBNbLDIhnXrbQnXnTva1t6FlBwzybRcF*6C0wsGI0ipXuk-XyUuohEHY96D3FCufGLgldPOIUsORwpidjgSGVA6/proxy.jpg?width=650)
Mtoto Adolotea Njavike (1.4) ambaye kichwa na kiwiliwili vimeungana baada ya kupata ajali ya moto akiwa na mama yake mzazi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Mtoto Sophia anaomba msaada ili aweze kupata matibabu
Sophia Abdul (14)
Na Amon Mtega – Songea
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamaria wema.
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s72-c/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
MTOTO SOPHIA ABDUL ANAOMBA MSAADA WAKO ILI AWEZE KUPATA MATIBABU
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s1600/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
TANGAZO: Milioni 30 zinahitajika kuokoa maisha ya Mtoto Careen kupata msaada wa kutibiwa India
![](http://1.bp.blogspot.com/-CLSjlE6R4zk/VjYQmWjGcLI/AAAAAAAID2o/n_pkPSf_Oxw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mtoto Careen Modest Kassuw pichani, ana umri wa mwaka mmoja, amezaliwa ana tatizo la Moyo ukiwa na matundu mawili na valvu zake nyembamba zimebana kiasi hivyo analazimika kusafirishwa kwenda India kwa matibabu.
Wazazi wa mtoto huyo wanaomba msaada wako wewe Mtanzania kwa atakayeguswa ili wafanikishe gharama za matibabu ya mtoto Careen ambayo ni Shilingi Milioni 30 zinahitajika ili kuokoa maisha yake.
Ewe Mtanzania, ewe mzazi tunaomba mchango wako wa hali na mali, kwa atakayeguswa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6ncOs5Axj4p3434HGYkQX-ZIwiEF3rrWfmfpzY*aNjspH552ezBD7oBT7iw0cPJL6zIW3XYASc1VnKEldywb1mey/Mtoto10000.gif?width=650)
MASKINI MTOTO HUYU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIsGb31jb1pmkeHwOMnaRvSTWz3z0bqcWtUMDp1j7KvJw0w15l-f96n3t2k*JnfY5bxRSHIldMzik6uTZYOHuXvZ/BACK.jpg)
KIFO CHA MTOTO HUYU KINAUMA!
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s72-c/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
MTOTO HUYU ANATAFUTWA NA WAZAZI WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-j0YfzuGRgjM/VmlmsipfPoI/AAAAAAAILb0/1iDj4D-tSsg/s400/pics%2Bevelina%2Bedwin.jpeg)
Kwa mujibu wa mzazi wa mwanafunzi huyo, Joyce Nchimbi, alisema mtoto huyo alitoweka nyumbani miezi mitatu iliyopita akiwa amevaa nguo hiyo.
Alisema mara ya mwisho alionekana mitaa ya Railways akiwa na wanafunzi wenzake lakini baada ya hapo hajaonekana tena.
Joyce alisema juhudi za kumtafuta mtoto huyo kwa ndugu na jamaa hazikufanikiwa na kutoa taarifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NlW-ckz1MMV3h8hRIXqC5JNHvyOnoJmPQZJuMj0ucwNnJbuK*EmLHQcdH63HmztlMoCW8ahHRMVBHku0fhdjppM/IMG_20150102_165635.jpg?width=650)
MTOTO HUYU ANAISHI NA UTUMBO WA PLASTIKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyVOgECoTu2gmg5copGMdb6iqdRVq9PjZIWD-zQJueOUOKvRhJF2o-jbh6GFcySiHk5C2gBReB0bJ2VGoctxamD/FRONTUWAZI.gif?width=650)
HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI