CHOO...
![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMyO4NK7K9aQI5NF4iOWazQMcKmt8RbdKtXQKEbsh5w-0R6YM2zHYywcwDbhbiCXKg5CjIRGuiS6pwz-d6FcUpY/choo.jpg?width=650)
No! Wakati supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiinjoi maisha kwenye hekalu lake lililoko maeneo ya Tegeta-Madale jijini Dar, habari kutoka nyumbani kwa mama yake mdogo alikozaliwa na kulelewa jamaa huyo Tandale zinadai kuwa choo cha nyumba yao kinamtia aibu. Choo cha nyumbani kwakina staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Habari kutoka kwa majirani waliokerwa na hali hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Shimo la choo laua watoto
WATOTO wawili wamefariki dunia juzi baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo walipokuwa wakicheza. Watoto hao wametajwa kuwa ni Abubakari Mohamed (3) mkazi wa Vingunguti na Abdulmalick (3) mkazi wa...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Naishi kwa huduma ya choo
11 years ago
Habarileo04 Feb
Choo chahifadhi nyaraka za mahakama
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi imefunga choo chake kwa matumizi yaliyokusudiwa, badala yake choo kinahifadhi nyaraka mbalimbali za mahakama hiyo. Aidha, wilayani Ukerewe katika Mkoa wa Mwanza, Mahakama ya Mwanzo Bukonyo, inakabiliwa na uchakavu wa majengo.
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Shule yafungwa kwa kukosa choo
SHULE ya Msingi Bugarama ambayo ipo katika eneo linalozunguka Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mines Ltd imefungwa baada ya kukosa vyoo. Mkaguzi Mkuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BSqXY9fQjZk/VF8Y0VA06HI/AAAAAAAAEN4/7co6sr18hP8/s72-c/mtoto%2Bkatupwa%2Bchooni.jpg)
MTOTO ATUPWA CHOO BAADA YA KUJIFUNGUA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSqXY9fQjZk/VF8Y0VA06HI/AAAAAAAAEN4/7co6sr18hP8/s640/mtoto%2Bkatupwa%2Bchooni.jpg)
Tukio hili la kusikitisha limetokea Mkoani Iringa ambapo mwanamke mmoja alijifungua mtoto na kisha kumdumbukiza katika tundu la choo. Mtoto huyo alizaliwa nyumbani sio hospitali baadae siku ya tarehe 04/11/2014 mama huyo alimdumbukiza kichanga hicho mwenye jinsia ya Kiume chooni.
Mama huyo alietambulika kwa jina la Magdalena inasemekana lengo kuu la kufanya kitendo hiko cha kikatili ni kuficha...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Wajisaidia vichakani kwa kukosa choo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLT6fpODFOGVzPNdhbi4RbItF3pt6*AbigNo5-PKknmE31I-omTzeuowZiggwBdQ0W9JnV1Iyixh8Ljdrzk9dqPG/Happiy.jpg?width=650)
APANGA CHUMBA, KUMBE NI CHOO, ATUMBUKIA!
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Harufu ya Choo yalazimu ndege ya BA kutua
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kichanga chaokolewa ndani ya shimo la choo