APANGA CHUMBA, KUMBE NI CHOO, ATUMBUKIA!
![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLT6fpODFOGVzPNdhbi4RbItF3pt6*AbigNo5-PKknmE31I-omTzeuowZiggwBdQ0W9JnV1Iyixh8Ljdrzk9dqPG/Happiy.jpg?width=650)
Na Shani Ramadhani HII nayo kali! Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Happy au mama Hassan, mkazi wa Mbande jijini Dar, wiki iliyopita yalimpata mazito kufuatia kutumbukia kwenye shimo la choo lililokuwa katikati ya chumba anachoishi kwenye nyumba aliyopanga, Uwazi lina mkasa wote. Muonekano wa chumba hicho chenye choo ndani. Tukio hilo lilitokea wakati mwanamama huyo akifanya usafi chumbani humo na kujikuta...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Mtoto atumbukia kisimani, afa
MTOTO Omari Hamduni (3) mkazi wa Keko Magurumbasi jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo alisema...
9 years ago
Bongo530 Oct
Chege apanga kuwashirikisha Mafikizolo
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Gerrard apanga kurejea Liverpool
10 years ago
Mtanzania08 Jan
Pluijm apanga mauaji Zanzibar
NA SAADA AKIDA, ZANZIBAR
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans Van Der Pluijm, amepanga kuifanyia mauaji timu ya JKU katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Mapinduzi utakaofanyika leo visiwani Zanzibar, huku akidai hatadharau timu yoyote iliyofikia hatua hiyo.
Wakati Yanga ikiwa na shughuli pevu kuvaana na JKU, Azam nayo itachuana vikali na Mtibwa Sugar, huku mabingwa watetezi KCCA wakicheza na Polisi Zanzibar kwenye Uwanja wa Amaan.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alieleza kushtushwa...
11 years ago
Bongo512 Aug
Rihanna apanga kuinunua klabu ya Liverpool
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Minaj apanga kukusanya tuzo 2016
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, amesema kuwa mwaka 2016 atahakikisha anajikusanyia tuzo mbalimbali.
Mwanadada huyo ambaye bado anatamba na wimbo wake wa ‘Right to my side’, amesema mwaka huu amechukua tuzo mbalimbali lakini 2016 atahakikisha anaongeza idadi ya tuzo.
“Tunaumaliza mwaka 2015, nimefanikiwa kuchukua tuzo mbalimbali na sasa nimejipanga kwa ajili ya mwaka 2016 ambapo nitahakikisha najikusanyia tuzo nyingi zaidi ya 2015.
“Maandalizi...
9 years ago
Bongo505 Oct
Shilole apanga kumshirikisha Yemi Alade
10 years ago
Bongo513 Aug
Nay wa Mitego apanga kumshirikisha Wizkid
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMyO4NK7K9aQI5NF4iOWazQMcKmt8RbdKtXQKEbsh5w-0R6YM2zHYywcwDbhbiCXKg5CjIRGuiS6pwz-d6FcUpY/choo.jpg?width=650)
CHOO...