Pluijm apanga mauaji Zanzibar
NA SAADA AKIDA, ZANZIBAR
KOCHA Mkuu wa Yanga Mholanzi, Hans Van Der Pluijm, amepanga kuifanyia mauaji timu ya JKU katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Mapinduzi utakaofanyika leo visiwani Zanzibar, huku akidai hatadharau timu yoyote iliyofikia hatua hiyo.
Wakati Yanga ikiwa na shughuli pevu kuvaana na JKU, Azam nayo itachuana vikali na Mtibwa Sugar, huku mabingwa watetezi KCCA wakicheza na Polisi Zanzibar kwenye Uwanja wa Amaan.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alieleza kushtushwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Mapinduzi ya Zanzibar: Mauaji ya Kimbari yaliyosahauliwa
Na Chris Oke. Nikizurura katika njia na chochoro nyembamba za Mji Mkongwe, napishana na wanaume wakinywa taratiibu kahawa isiyochujwa na wengine wakiwa wamesokotana wakicheza mchezo wa bao, ni vigumu kufikiria kwamba Zanzibar haikuwa sehemu yoyote ili […]
The post Mapinduzi ya Zanzibar: Mauaji ya Kimbari yaliyosahauliwa appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Ngoma, Nonga waanza mauaji Zanzibar
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Gerrard apanga kurejea Liverpool
9 years ago
Bongo530 Oct
Chege apanga kuwashirikisha Mafikizolo
10 years ago
Bongo513 Aug
Nay wa Mitego apanga kumshirikisha Wizkid
9 years ago
Bongo505 Oct
Shilole apanga kumshirikisha Yemi Alade
11 years ago
Bongo512 Aug
Rihanna apanga kuinunua klabu ya Liverpool
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLT6fpODFOGVzPNdhbi4RbItF3pt6*AbigNo5-PKknmE31I-omTzeuowZiggwBdQ0W9JnV1Iyixh8Ljdrzk9dqPG/Happiy.jpg?width=650)
APANGA CHUMBA, KUMBE NI CHOO, ATUMBUKIA!