Ngoma, Nonga waanza mauaji Zanzibar
Yanga imeanza vizuri mashindano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mafunzo katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar jana huku Azam na Mtibwa zikianza kwa kuchechemea baada ya kutoka sare ya bao 1-1.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo16 Dec
Nonga atua Yanga, Kessy ngoma nzito
KLABU ya Yanga imefunga usajili wa dirisha dogo jana kwa kumsajili mchezaji wa zamani wa Mbeya City Paul Nonga ambaye alikuwa akicheza katika timu ya Mwadui FC ya Shinyanga.
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Msako mkali waanza mauaji ya Senzo Afrika Kusini
Na Mwandishi wetu
Polisi nchini Afrika Kusini wameanzisha msako mkali dhidi ya mtu aliyempiga risasi na kumuua mlinda mlango na nahodha wa timu ya taifa hilo Senzo Meyiwa(pichani).
Ili kufanikisha uchunguzi huo ufanyike kwa urahisi na haraka, polisi wameahidi zawadi nono ya randi 250,000 sawa na dola za kimarekani 14,000 hadi $23,000 kwa yeyote atakayetoa taarifa na kufanikisha kukamatwa kwa mtu huyo.
Taarifa za jeshi la polisi zinasema kuwa watu wawili waliingia ndani na mmoja alibaki nje...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mashahidi kesi ya mauaji ya Msuya waanza kutoa ushahidi
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Kesi ya mauaji Polisi Moshi ngoma nzito
UPANDE wa utetezi katika kesi ya mauaji inayowakabili raia wawili wa Kenya na Mtanzania mmoja wanaotuhumiwa kumuua askari wa Jeshi la Polisi, Ex. PC Michael Milanzi, aliyeuawa kwa kupigwa risasi...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Nonga aikosakosa Stand United
Paul Nonga
Wilbert Molandi,
Dar es Salaam
KAMA zari kwa Stand United, kwani yule mbaya wao Paul Nonga aliyesajiliwa na Yanga hatokuwepo katika mchezo wa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Nonga amesajiliwa na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh milioni 40, lakini ameuomba ruhusa uongozi wa timu yake mpya akamalize mambo yake kisha ajiunge rasmi na timu hiyo.
Katika mchezo wake wa mwisho akiichezea Mwadui FC, Nonga alifunga bao moja lililoiwezesha timu hiyo...
9 years ago
Habarileo17 Dec
Nonga afichua kilichompeleka Yanga
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga Paul Nonga amesema amefurahi kusajiliwa na klabu hiyo kwa kuwa ni sehemu ambako atatumia kujenga mtandao mpya wa mafanikio.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
ZANZIBAR KUMEKUCHA WAGOMBEA WAANZA KURUDISHA FOMU ZA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-vr0BOEjG0eA/XvHfAIHn14I/AAAAAAALvDY/sxgh1UOMP600sJnERUt1vv3vuLtYJMMxQCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8r_Q6TGsiJA/XvHe9sQyUDI/AAAAAAALvDQ/d0w6XM62Qv0b6D_ouQpmB6URWly4w_X1wCLcBGAsYHQ/s640/Hija%2Bfomu%2B2.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Oct
JWTZ Waanza Mkong’oto Zanzibar,vituo muhimu vyaanza kulindwa
Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania, (JWTZ), wanaolinda Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi, wanatuhumiwa kuwatesa na kuwachapa viboko madereva na makondakta wa daladala wanaotumia kituo cha abiria cha Kisonge, mjini hapa. Malalamiko hayo […]
The post JWTZ Waanza Mkong’oto Zanzibar,vituo muhimu vyaanza kulindwa appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s72-c/487.jpg)
CCM ZANZIBAR WAANZA MCHAKATO WA KUTOA FOMU KWA WAGOMBEA WA UBUNGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-bR3xFLrqGfI/VaaIj6aGgWI/AAAAAAAHp9k/N75MEz61WcY/s640/487.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ys8zVR5v_Ik/VaaIjVU_5sI/AAAAAAAHp9Y/b6rw4O_LKWI/s640/490.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-INUNEyYkIWI/VaaIjxevP3I/AAAAAAAHp9c/aEZDTcQuDzs/s640/491.jpg)