Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JWTZ Waanza Mkong’oto Zanzibar,vituo muhimu vyaanza kulindwa

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania, (JWTZ), wanaolinda Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi, wanatuhumiwa kuwatesa na kuwachapa viboko madereva na makondakta wa daladala wanaotumia kituo cha abiria cha Kisonge, mjini hapa. Malalamiko hayo […]

The post JWTZ Waanza Mkong’oto Zanzibar,vituo muhimu vyaanza kulindwa appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wahudumu NIDA kushushiwa mkong’oto

IKIWA imesalia siku moja kukamilika kwa shughuli ya utoaji wa vitambulisho vya Uraia, wananchi wa Mtaa wa Mpakani Kata ya Kwembe Mbezi, jijini Dar es Salaam, wamesema watawapa mkong’oto wahudumu...

 

10 years ago

GPL

KIGOGO MANISPAA ALA MKONG'OTO

Dustan Shekidele, Moro Kichapo! Katika hali ya kushangaza, kigogo wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, Fatuma Mussa amejikuta akipokea mkong’oto wa aina yake kisha kunusurika kuchomewa nyumba moto na raia wenye hasira kali akidaiwa kumfanyia ukatili ‘hausigeli’ wake aliyejitambulisha kwa jina la Mariam Emmanuel.   ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1Ls9f32 ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgombea urais wa CCM apata mkong’oto

Tanga\Dodoma. Harakati za makada wa CCM wanaowania urais kusaka wadhamini mkoani zinaendelea kukumbwa na vituko baada ya wanamgambo wa chama hicho, maarufu kama Green Guards, kumshushia mkong’oto Dk Mussa Muzamill Kalokola aliyeingilia mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya mgombea mwingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri atembeza mkong’oto, wengine wawili waanguka

Mawaziri wawili wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wameanguka kwenye marudio ya kura za maoni zilizofanyika juzi, huku matokeo ya Jimbo la Busega yakikwama baada ya Waziri wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Dk Titus Kamani kumshambulia msimamizi wa uchaguzi.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ

Habari tulozipata si muda mrefu kwamba Wamasai wamepewa kichapo na watu wasiojulikana Kundi la Wamasai 8 walikuwa katika ghasia hizo ambapo walikuwa wakishambuliwa ba kundi la Ubayaubaya. Ugomvi ulianzia mitaa ya Darajabovu ambapo Wamasahai hao walikabiliana […]

The post Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA SABA: Viungo muhimu vyaanza kujitokeza

KAMA ungekuwa unamuona mtoto anayeendelea kukua tumboni katika wiki hii, jambo kubwa ni kuanza kujitokeza kwa viganja vya mikono na miguu. Hata hivyo, mwonekano wake ni kama upawa wa kupigia...

 

11 years ago

Michuzi

JWTZ lasherehekea Miaka 50 kwa kuvisaidia vituo vya kulea watoto yatima

Mkurugenzi wa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania Brigedia Jenerali Sarah Wambali akisoma risala ya kumkamribisha Mgeni rasmi katika hafla ya kusherekea miaka 50 ya Jeshi hilo leo jijini Dar es Salaam, ambapo wanatarajia kutoa misaada ya vyakula na vifaaa mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Mkurugenzi wa Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleao ya Jamii ,Jinsia na Watoto Meshack Ndasikoi ambaye ni mgeni rasmi katika hafla ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar

DSC05130

Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo

Na Mwandishi Wetu.

[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa  Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana  wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji  cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.

Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...

 

5 years ago

Michuzi

MADAKTARI BINGWA WAANZA KUTOA HUDUMA KATIKA VITUO VYA AFYA MANISPAA YA UBUNGO

Manispaa ya Ubungo imeanza kutoa huduma za kitabibu katika vituo vya Afya vilivyopo katika Manispaa hiyo. Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa Ubungo Beatrice Dominic amesema yoezi hilo limeanza leo katika kituo cha Afya Mbezi Louis na litakuwa la wiki tatu.

Amesema katika Wiki ya pili huduma zitahamia kituo cha Afya Kimara na wiki ya tatu litamalizia katika kituo cha Afya Makurumla. Dominic amesema huduma za kibingwa zitakuwa zikitolewa bure katika wiki zote tatu.

Aidha amesema Madaktari bingwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani