Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UJAUZITO WIKI YA SABA: Viungo muhimu vyaanza kujitokeza

KAMA ungekuwa unamuona mtoto anayeendelea kukua tumboni katika wiki hii, jambo kubwa ni kuanza kujitokeza kwa viganja vya mikono na miguu. Hata hivyo, mwonekano wake ni kama upawa wa kupigia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA TANO: Viungo vyaanza kujijenga

BAADA ya mapumziko ya wiki moja kutokana na kuingiliwa na makala kwa ajili ya kumbukumbu ya marehemu Nasra, leo tuendelee na mfululizo wa makala kuhusiana na makuzi ya ujauzito. Katika...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

JWTZ Waanza Mkong’oto Zanzibar,vituo muhimu vyaanza kulindwa

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania, (JWTZ), wanaolinda Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi, wanatuhumiwa kuwatesa na kuwachapa viboko madereva na makondakta wa daladala wanaotumia kituo cha abiria cha Kisonge, mjini hapa. Malalamiko hayo […]

The post JWTZ Waanza Mkong’oto Zanzibar,vituo muhimu vyaanza kulindwa appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwafrika aliyelala mitaani Uingereza akiwa ni ujauzito wa miezi saba.

Sarah Kamati alikua na mimba kubwa wakati yeye na mpenzi wake walipokataliwa na mfumo wa uhamiaji nchini Uingereza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Muhula wa pili wa ujauzito (Wiki 13-26)

TUANZE makala ya leo na kishtua mada  kwa kuwasikiliza washkaji wawili. Mshikaji 1: Maisha ni kama kitabu kikubwa cha hadithi. Kila siku unapoamka unafungua ukurasa mpya. Wewe unajua idadi ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 18: Kuchagua jina la mtoto — 2

KAMA tulivyoona katika makala zilizotangulia, watu huchagua jina la mtoto kwa kufuata vigezo tofauti tofauti, lakini kwa makabila mengi nchini, moja ya jambo ambalo linatumiwa na watu wengi wakati wanapochagua...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 14: Unaweza kujua jinsi ya mtoto

KAMA ungekuwa na uwezo wa kumuona mtoto wakati ujauzito unapoingia wiki ya 14, ungeweza kumuona akianza kufanya ishara usoni kama vile kuminya macho, kutabasamu, kunyonya kidole na hata kukojoa. Hii...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 15: Mtoto anaanza kupata hisia

KATIKA wiki ya 15, mtoto anakuwa amefikia urefu wa inchi nne. Hivi sasa, majimaji yaliyopo tumboni yanaweza kuanza kupenya kwenye pua zake na kuingia kwenye sehemu ya juu ya njia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA NNE; Baadhi ya tahadhari za kuchukua

 KAMA tulivyoona katika makala iliyotangulia, wakati wowote hivi sasa mwanamke anaweza kujibaini kuwa ni mjamzito. Lakini tumeshaeleza kuwa ni vigumu, hasa kwa wale wanaopata ujauzito kwa mara ya kwanza, kufahamu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA 17: Mifupa ya mtoto yaanza kuimarika

KATIKA wiki ya 17 ya ujauzito, mwili wa mtoto unazidi kuimarika na jambo kubwa ambalo linatokea katika wiki hii ni kuzidi kuimarika kwa mifupa yake. Mifupa inabadilika kutoka kuwa ile...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani