Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwafrika aliyelala mitaani Uingereza akiwa ni ujauzito wa miezi saba.

Sarah Kamati alikua na mimba kubwa wakati yeye na mpenzi wake walipokataliwa na mfumo wa uhamiaji nchini Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Bongo5

Serena Williams alitwaa ubingwa akiwa na ujauzito

Mchezaji nguli wa tennis namba moja kwa sasa duniani, Serena Williams amejitangaza kuwa ni mjamzito kupitia Snapchat.
A

Habari hizi zinaonyesha kwamba, Serena alikua Mjamzito wa wiki nane, pale alipotwaa ubingwa wa Tennis katika Mashindano ya Australian Open, jijini Melbourne mnamo January mwaka huu.

Mwanadada huyo mwenye miaka 35 aliweka picha yake akiwa amejipiga picha kwenye kioo na kuandika 20 weeks yaani, majuma 20 kisha akaifuta hiyo post.

Iwapo itathibitika kwa hakika kuwa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA SABA: Viungo muhimu vyaanza kujitokeza

KAMA ungekuwa unamuona mtoto anayeendelea kukua tumboni katika wiki hii, jambo kubwa ni kuanza kujitokeza kwa viganja vya mikono na miguu. Hata hivyo, mwonekano wake ni kama upawa wa kupigia...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya mzee aliyesafiri kwa miezi saba pekeyake baharini kutoka Marekani..

Kwenye vitu ama stori ambazo zimeonekana kukamata vichwa vya habari vya kimataifa kwa saa kadhaa mfululizo pamoja na mitandao mikubwa, iko pia stori ya mzee mwenye umri wa miaka 53, jina lake ni John Beeden. Mzee Joe alianza safari yake San Francisco Marekani siku ya June 1 2015 akiwa na boti yake ndogondogo na kufanikiwa kufika Jiji la […]

The post Video ya mzee aliyesafiri kwa miezi saba pekeyake baharini kutoka Marekani.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Model atembea akiwa mtupu mitaani Hong Kong bila watu kugundua!

model1

Mwanamitindo mmoja ameonekana akikatiza mitaa ya jiji la Hong Kong, China akiwa mtupu kuanzia kiunoni hadi chini pasipo watu kugundua kutokana na kuchorwa mfano wa jeans katika mwili wake sehemu hiyo ya chini.

model1

Akiwa amevaa nguo ya juu iliyoandikwa ‘No pants are the best pants’ kwa nyuma, alionekana akipishana na watu mitaani, kwenye treni sehemu za kutolea pesa na kwingine bila watu kumshitukia.

Tazama picha zake;
model2

model3

model4

model5

model6

model7

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RASHID PEMBE: Gwiji wa saxophone aliyelala na gitaa Sokoni Kariakoo Dar

JINA la Rashid Pembe si geni machoni na masikioni mwa wengi. Ni mwanamuziki mashuhuri katika upulizaji wa saxophone, utundu ambao umemfanya apate umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi. Pembe...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Akiwa Waziri Mkuu eti wapigwe tu, akiwa rais si atasema wachinjw

MOJA  ya wosia wa Baba wa Taifa Julius Nyerere ni kutaka wanaoutamani urais wa nchi kujitokeza mapema ili wananchi wapate muda wa kutosha wa kuwatambua,  kuwafahamu na kuwajadili. Alisema hivyo...

 

11 years ago

GPL

‘MR UWAZI’ AGAWA ZAWADI SABA SABA KWA WASOMAJI

Mr. Uwazi akimkabidhi zawadi msomaji wa gazeti la Uwazi. Msomaji akinunua gazeti na kupiga picha na Mr. Uwazi…

 

11 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LATOA HUDUMA MBALIMBALI MAONESHO YA SABA SABA

Wafanyakazi wa shirika la Posta wakiwa katika picha ya pamoja katika banda lao ndani ya  maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam. Mmoja wa Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania,akimuelezea mmoja wa wateja wao aliefika kwenye banda lao kwa ajili ya kufahamu huduma mbalimbali zitolewazo na shirika hilo,kwenye maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yanayoendelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani