Video ya mzee aliyesafiri kwa miezi saba pekeyake baharini kutoka Marekani..
Kwenye vitu ama stori ambazo zimeonekana kukamata vichwa vya habari vya kimataifa kwa saa kadhaa mfululizo pamoja na mitandao mikubwa, iko pia stori ya mzee mwenye umri wa miaka 53, jina lake ni John Beeden. Mzee Joe alianza safari yake San Francisco Marekani siku ya June 1 2015 akiwa na boti yake ndogondogo na kufanikiwa kufika Jiji la […]
The post Video ya mzee aliyesafiri kwa miezi saba pekeyake baharini kutoka Marekani.. appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Wavuvi saba Watanzania wawekwa karantini baada ya kuokolewa baharini Kenya
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Pq-QiyxJ-wU/U7KyciKSf8I/AAAAAAACkmw/mVhFY6J6S2c/s72-c/4.jpg)
KUTOKA SABA SABA LEO:TTCL KUZINDUA KITUO KIKUBWA CHA KUUZIA INTERNET AFRIKA MASHARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pq-QiyxJ-wU/U7KyciKSf8I/AAAAAAACkmw/mVhFY6J6S2c/s1600/4.jpg)
Bwa.Thomas amebainisha kuwa Mkongo wa Taifa wa mawasiliano umekwisha sambaa maeneo mengi ikiwemo mikoa 21 ya Tanzania mpaka sasa,Amesema kuwa Makampuni yote ya ndani yanatumia mkongo huu wa mawasiliano kupeleka huduma kwa wananchi na...
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mwafrika aliyelala mitaani Uingereza akiwa ni ujauzito wa miezi saba.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi0PKR*0rfqBkQIeaQld0euM2x7*j-vgrvoHf5LpRbN1h6w9ovfVixvQP3zqDTNp5kD*7uZncUh*Tq5jD-KMAtI7/MSIBASMALL3.jpg?width=650)
TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA MZEE SMALL
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
Safari ya Wakulima Kutoka ‘Saba Saba’ Dar 1977 Hadi ‘Nane Nane’ Dodoma 2014
11 years ago
GPLKUTOKA MSIBANI KWA MAREHEMU MZEE SMALL TABATA
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
KAZI MPYA: Kutoka Kwa Wolper na Mzee Majuto
Tukiwa unaelekea ukingoni mwa mwaka 2014 , Waigizaji Jackline Masawe “Wolper”na King Majuto wameonekana wakiwa mzigoni kutengeneza kitu kipya. Mwanadada Wolper aliidondosha picha hii na kuandika “New Movie with majuto dady”
Ingawa bado jina la movie halijawekwa hadharani, pamoja na lini movie hiyo itatoka, mashabiki wengi mitandaoni wameonyesha kutegemea kazi nzuri kutoka kwa hawa watu kwani ni waigizaji wenye uwezo na uzoefu mkusana.
Je wewe wategemea movie ya namna gani kutoka kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s72-c/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani
![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s640/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/e53b4a4d-b0ef-4224-990f-aa94532e4f5f.jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwenyekiti CCM Marekani afungwa miezi 18