Mwenyekiti CCM Marekani afungwa miezi 18
Mwenyekiti wa CCM wa tawi la Texas, Houston nchini Marekani, Simon Makangula amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja na nusu jela na kulipa faini ya zaidi ya Sh92.4 milioni kwa kosa la kughushi nyaraka za ulipaji wa kodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA

Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo.
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi.
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...
5 years ago
Michuzi
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM ZANZIBAR DKT SHEIN JIJINI DODOMA


10 years ago
Mtanzania16 May
Gaidi aliyelipua Ubalozi Dar afungwa maisha Marekani
WASHINGTON, Marekani
MSHIRIKA wa aliyekuwa gaidi namba moja duniani, Osama bin Laden, Khaled al-Fawwaz, amehukumiwa kifungo cha maisha jela nchini Marekani.
Khaled al-Fawwaz amehukumiwa kifungo hicho baada ya kukutwa na tuhuma za kujihusisha na mpango wa mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea katika Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998.
Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa AP, hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Lewis Kaplan wa Mahakama ya Manhattan, iliyopo mjini New...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Video ya mzee aliyesafiri kwa miezi saba pekeyake baharini kutoka Marekani..
Kwenye vitu ama stori ambazo zimeonekana kukamata vichwa vya habari vya kimataifa kwa saa kadhaa mfululizo pamoja na mitandao mikubwa, iko pia stori ya mzee mwenye umri wa miaka 53, jina lake ni John Beeden. Mzee Joe alianza safari yake San Francisco Marekani siku ya June 1 2015 akiwa na boti yake ndogondogo na kufanikiwa kufika Jiji la […]
The post Video ya mzee aliyesafiri kwa miezi saba pekeyake baharini kutoka Marekani.. appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Michuzi
MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM OFISI NDOGO YA CCM MTAA WA LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM


11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) akutana na Makamu Mwenyekiti wa Rais wa China
Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao (hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)...
5 years ago
CCM Blog
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TANZANIA BARA AZINDUA OFISI YA CCM MKOA WA GEITA

15.02.2020
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Philip Japhet Mangula amezindua jengo la ofisi ya CCM Mkoani Geita ambalo ni limejengwa na viongozi wa Chama na Serikali, Wanachama wa CCM pamoja na wadau mbalimbali Mkoani hapo.
Aidha, Ndugu Mangula akiwahutubia wana CCM hao...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM NA RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZINDUA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM

