Minaj apanga kukusanya tuzo 2016
NEW YORK, MAREKANI
MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, amesema kuwa mwaka 2016 atahakikisha anajikusanyia tuzo mbalimbali.
Mwanadada huyo ambaye bado anatamba na wimbo wake wa ‘Right to my side’, amesema mwaka huu amechukua tuzo mbalimbali lakini 2016 atahakikisha anaongeza idadi ya tuzo.
“Tunaumaliza mwaka 2015, nimefanikiwa kuchukua tuzo mbalimbali na sasa nimejipanga kwa ajili ya mwaka 2016 ambapo nitahakikisha najikusanyia tuzo nyingi zaidi ya 2015.
“Maandalizi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Feb
Manispaa Morogoro yatarajia kukusanya Sh. Bil 5.3 2015/2016.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 5 kutoka kwenye vyanzo vyake ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni ongezeko la asilimia 13.3 ya makadirio ya mwaka 2014/2015.
Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ilikusanya shilingi Bilioni 4.7 kutoka kwenye vyanzo yake vya ndani.
Ongezeko la mapato kwa mwaka wa fedha 2015/2016 linatokana na uboreshwaji wa ukusanyaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDD7urhYo4JSPVwk*si*eAIlmdfP7brze0lkSUTEM5*OJjgR9p-3yPFTe2jS5qHFkUsaKZ5zBKYcCP9egraTYxBO/brown_minaj.jpg?width=650)
CHRIS BROWN, NICKI MINAJ VINARA WA KUTAJWA TUZO ZA BET 2015
10 years ago
Bongo501 Oct
Nicki Minaj kuhost tuzo za 2014 MTV EMA ambazo Diamond wa TZ anawania
11 years ago
Bongo520 Jul
‘Iggy Azalea aliumizwa na maneno ya Nicki Minaj kwenye tuzo za BET’ asema boyfriend wake
9 years ago
Vijimambo16 Sep
WANAOGAMBANIA TUZO ZA BET HAWA HAPA AMBAO NI PAMOJA NA BRAKE, BIG SEAN, NICKI MINAJ
![](http://theboombox.com/files/2015/09/Drake-BigSean-NickiMinaj-630x420.jpg)
Drake is feeling blessed right now. The Toronto rap star nabbed a whopping 12 nominations for the 2015 BET Hip-Hop Awards. Fellow rhymers Big Sean and Nicki Minaj also garnered some major nods as well.
Drizzy is a nominee in categories including Album of the Year (If You’re Reading This It’s Too Late), Hustler of the Year, Lyricist of the Year and Sweet 16 for his guest verse on Big Sean’s “Blessings.”
Speaking of Sean Don, the Detroit rhymer...
9 years ago
Bongo508 Dec
Mtanzania huyu atinga tuzo za Grammy 2016
![10593089_742746879124089_1364310142790121327_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10593089_742746879124089_1364310142790121327_n-300x194.jpg)
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Grammy mwaka 2016 yametajwa. Grammy ni tuzo zenye heshima zaidi nchini Marekani.
Rapper mwenye asili ya Tanzania, Allan Kingdom naye ametajwa kwenye tuzo hizo thanks kwa shavu alilopewa na Kanye West kwenye wimbo wake All Day. Wimbo huo umetajwa kuwania vipengele viwili, Best Rap Performance na Best Rap Song.
Allan anaishi Minnesota, Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=X8GsQhCAkcg
MFAHAMU ZAIDI ALLAN KINGDOM
Mwaka jana mtandao wa Complex...
9 years ago
Bongo522 Oct
Chris Rock kusherehesha tuzo za Oscar 2016
9 years ago
Bongo513 Dec
Lulu, Monalisa, Richie watajwa kuwania tuzo za Africa Magic, AMVCA 2016
![a2-poster](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/a2-poster-300x194.jpg)
Waigizaji Elizabeth ‘Lulu’ Michael, Single ‘Richie’ Mtambalike na Yvonne ‘Monalisa’ Cherry wametajwa kuwania tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards, AMVCA za mwaka 2016 kupitia filamu walizoigiza.
Majina ya filamu zinazoshindana mwaka huu yalitajwa Jumamosi hii.
Lulu ametajwa kuwania tuzo hizo kwenye kipengele cha Best Movie – East Africa kupitia filamu yake ya Mapenzi ya Mungu pamoja na Monalisa kupitia Daddy’s Wedding.
Kupitia Instagram Lulu ameandika: Nina Kila sababu ya Kumshukuru...
9 years ago
Bongo502 Jan
Hawa ndio washindi wa tuzo za ‘The Headies 2015’ za Nigeria zilizotolewa Jan 1, 2016
![Headies-2015](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Headies-2015-300x194.jpg)
Tuzo za The Headies za nchini Nigeria zilizokuwa zitolewe December 30, 2015 zilisogezwa na kutolewa January 1, 2016 jijini Lagos.
Katika tuzo hizo kulikuwa na kipengele kimoja kwaajili ya wasanii wa nje ya Nigeria, ‘African Artist’ ambapo Diamond Platnumz alikuwa akiwania na Cassper Nyovest, AKA na Uhuru wa Afrika Kusini, pamoja na Sarkodie wa Ghana. Hata hivyo matokeo ya kipengele hicho hayajawekwa.
Ifuatayo ni orodha ya washindi wa tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya kumi:
Headies...