Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Minaj apanga kukusanya tuzo 2016

nicki-minajNEW YORK, MAREKANI

MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Nicki Minaj, amesema kuwa mwaka 2016 atahakikisha anajikusanyia tuzo mbalimbali.

Mwanadada huyo ambaye bado anatamba na wimbo wake wa ‘Right to my side’, amesema mwaka huu amechukua tuzo mbalimbali lakini 2016 atahakikisha anaongeza idadi ya tuzo.

“Tunaumaliza mwaka 2015, nimefanikiwa kuchukua tuzo mbalimbali na sasa nimejipanga kwa ajili ya mwaka 2016 ambapo nitahakikisha najikusanyia tuzo nyingi zaidi ya 2015.

“Maandalizi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Manispaa Morogoro yatarajia kukusanya Sh. Bil 5.3 2015/2016.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 5 kutoka kwenye vyanzo vyake ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2015/2016 ikiwa ni ongezeko la asilimia 13.3 ya makadirio ya mwaka 2014/2015.

 

Kwa mwaka wa fedha 2014/2015, halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ilikusanya shilingi Bilioni 4.7 kutoka kwenye vyanzo yake vya ndani.

 

Ongezeko la mapato kwa mwaka wa fedha 2015/2016 linatokana na uboreshwaji wa ukusanyaji...

 

10 years ago

GPL

CHRIS BROWN, NICKI MINAJ VINARA WA KUTAJWA TUZO ZA BET 2015

Chris Brown na Nicki Minaj wote wanawania tuzo katika vipengele 6. WANAMUZIKI Chris Brown na Nicki Minaj wameongoza kwa kutajwa mara nyingi katika vipengele vya kuwania Tuzo za BET 2015 kwa kila mmoja kutajwa mara sita. Nicki Minaj. Katika kipengele cha video bora ya mwaka, Brown ametajwa mara mbili kwa video zake za Loyal na New Flame.
Minaj naye yupo juu akitajwa katika vipengele sita kikiwemo cha video bora ya mwaka kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kuhost tuzo za 2014 MTV EMA ambazo Diamond wa TZ anawania

MTV wamemtangaza rapper Nicki Minaj kuwa ndiye atakuwa host wa tuzo za 2014 MTV Eurrope, MTV EMA ambazo Mtanzania Diamond Platnumz pia ni miongoni mwa nominees kutoka Afrika. Nicki Minaj licha ya kuhot lakini pia atatumbuiza kwenye tuzo hizo zinazotarajiwa kutolewa November 9 na kuoneshwa live kutoka jijini Glasgow, Scotland. Kupitia Instagram Nicki aliandika: “So […]

 

11 years ago

Bongo5

‘Iggy Azalea aliumizwa na maneno ya Nicki Minaj kwenye tuzo za BET’ asema boyfriend wake

Pamoja na rapper mwenye asili ya Australia, Iggy Azalea kudai kuwa hakusumbuliwa na maneno ya Nicki Minaj kwenye tuzo za BET mwishoni mwa mwezi uliopita, mpenzi wake Nick Young anayecheza kikapu na timu ya Los Angeles Lakers, ameliambia New York Daily News kuwa kauli ya Nicki na maneno ya watu mtandaoni, vilimuumiza ‘demu’ wake huyo. […]

 

9 years ago

Vijimambo

WANAOGAMBANIA TUZO ZA BET HAWA HAPA AMBAO NI PAMOJA NA BRAKE, BIG SEAN, NICKI MINAJ

Kevin Winter / Handout / Craig Barritt, Getty Images
Drake is feeling blessed right now. The Toronto rap star nabbed a whopping 12 nominations for the 2015 BET Hip-Hop Awards. Fellow rhymers Big Sean and Nicki Minaj also garnered some major nods as well.

Drizzy is a nominee in categories including Album of the Year (If You’re Reading This It’s Too Late), Hustler of the Year, Lyricist of the Year and Sweet 16 for his guest verse on Big Sean’s “Blessings.”

Speaking of Sean Don, the Detroit rhymer...

 

9 years ago

Bongo5

Mtanzania huyu atinga tuzo za Grammy 2016

10593089_742746879124089_1364310142790121327_n

Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Grammy mwaka 2016 yametajwa. Grammy ni tuzo zenye heshima zaidi nchini Marekani.

10534549_742746822457428_4660708305664574914_n

Rapper mwenye asili ya Tanzania, Allan Kingdom naye ametajwa kwenye tuzo hizo thanks kwa shavu alilopewa na Kanye West kwenye wimbo wake All Day. Wimbo huo umetajwa kuwania vipengele viwili, Best Rap Performance na Best Rap Song.

Allan anaishi Minnesota, Marekani.
https://www.youtube.com/watch?v=X8GsQhCAkcg

MFAHAMU ZAIDI ALLAN KINGDOM

Mwaka jana mtandao wa Complex...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Rock kusherehesha tuzo za Oscar 2016

Mchekeshaji na muigizaji wa Marekani Chris Rock, ametajwa kuwa host wa tuzo za Oscar mwezi February mwakani. Hiyo itakuwa mara ya pili kusherehesha tuzo hizo za filamu zinazoheshimika kuliko zote duniani. Tuzo hizo zitatolewa February 28 jijini Los Angeles. Mara ya kwanza Rock alihost tuzo hizo mwaka 2005. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi […]

 

9 years ago

Bongo5

Lulu, Monalisa, Richie watajwa kuwania tuzo za Africa Magic, AMVCA 2016

a2-poster

Waigizaji Elizabeth ‘Lulu’ Michael, Single ‘Richie’ Mtambalike na Yvonne ‘Monalisa’ Cherry wametajwa kuwania tuzo za Africa Magic Viewers Choice Awards, AMVCA za mwaka 2016 kupitia filamu walizoigiza.

a2-poster

Majina ya filamu zinazoshindana mwaka huu yalitajwa Jumamosi hii.

Lulu ametajwa kuwania tuzo hizo kwenye kipengele cha Best Movie – East Africa kupitia filamu yake ya Mapenzi ya Mungu pamoja na Monalisa kupitia Daddy’s Wedding.

1965077_719656421418883_2052333202_n

Kupitia Instagram Lulu ameandika: Nina Kila sababu ya Kumshukuru...

 

9 years ago

Bongo5

Hawa ndio washindi wa tuzo za ‘The Headies 2015’ za Nigeria zilizotolewa Jan 1, 2016

Headies-2015

Tuzo za The Headies za nchini Nigeria zilizokuwa zitolewe December 30, 2015 zilisogezwa na kutolewa January 1, 2016 jijini Lagos.

Headies-2015

Katika tuzo hizo kulikuwa na kipengele kimoja kwaajili ya wasanii wa nje ya Nigeria, ‘African Artist’ ambapo Diamond Platnumz alikuwa akiwania na Cassper Nyovest, AKA na Uhuru wa Afrika Kusini, pamoja na Sarkodie wa Ghana. Hata hivyo matokeo ya kipengele hicho hayajawekwa.

Ifuatayo ni orodha ya washindi wa tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya kumi:

Headies...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani