Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shimo la choo laua watoto

WATOTO wawili wamefariki dunia juzi baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo walipokuwa wakicheza. Watoto hao wametajwa kuwa ni Abubakari Mohamed (3) mkazi wa Vingunguti na Abdulmalick (3) mkazi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kichanga chaokolewa ndani ya shimo la choo

Mtoto mchanga mwenye umri wa siku mbili amenusurika kufa baada ya mama yake mzazi, Hadija Pangani (29) Mkazi wa Kijiji cha Mpiruka Wilaya Nachingwea, Lindi kumfunga kwenye kiroba na kumtumbukiza chooni.

 

10 years ago

Habarileo

Gunia la mahindi laua watoto wawili

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaWATOTO wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na gunia la mahindi nyumbani kwao katika kijiji cha Katunguru, kata ya Usisya wilayani Urambo mkoani hapa.

 

11 years ago

GPL

SHIMO HATARI

Shimo hatari lililopo katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo! Ungana na Global TV Online kushuhudia tukio…

 

11 years ago

GPL

SHIMO HATARI LAZIBWA

Shimo hatari lililoripotiwa na Global TV Online juzi Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lililokuwa kero kwa watumiaji, lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar es Salaam. Ungana na Global TV Online kushuhudia shimo hilo…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngorongoro; Shimo linalotunza wanyama

KAMA tulivyoahidi wiki iliyopita, tuanze makala yetu ya leo, ambayo itakuwa ya mwisho katika mfululizo wa simulizi kuhusu Bonde la Ngorogoro, kwa kuangalia jinsi hadhi ya bonde hili ilivyopandishwa kisheria....

 

11 years ago

Mwananchi

Maajabu ya ‘Shimo la Mungu’ Newala

>Katika Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara lipo shimo la ajabu lijulikanalo kama ‘Shimo la Mungu’ lililochukua robo tatu ya ukubwa wa wilaya hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Shimo la tambiko lilivyogeuka ‘jehanamu’ Handeni

“Ama kweli hujafa hujaumbika,” walisema walimwengu wakiwa na maana kubwa kwamba tangu kuzaliwa hadi kufa hupitia au kukumbwa na mabadiliko mbalimbali, lakini litakavyotokea au lini ni siri ya Mungu pekee.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waokota maiti shimo la mchanga

MAITI ya mtu asiyefahamika amekutwa ndani ya shimo la mchanga maeneo ya Chamazi Saku wilayani Temeke.

 

10 years ago

Michuzi

SHIMO HILI NI HATARI KWA WAPITA NJIA

Wakazi wa mtaa wa Togo Kinondoni Jiji Dar es Salaam wakikatiza kando kando ya Shimo kama lionekanavyo pichani,hali ambayo ni hatari  hasa kwa wapita njia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani