Polisi waokota maiti shimo la mchanga
MAITI ya mtu asiyefahamika amekutwa ndani ya shimo la mchanga maeneo ya Chamazi Saku wilayani Temeke.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s72-c/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
CHONGOLO AAGIZA POLISI KUWA CHUKULIA HATUA WATAKAOBAINIKA KUCHIMBA MCHANGA KWENYE MITO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Pt2AuAl-HHQ/XoyEUqiODrI/AAAAAAALmX0/LNCm_l0rCaQxLBcdslIoCjoLBilxyZufQCLcBGAsYHQ/s640/0940101c-b948-4930-bbd8-51cd450684d9.jpg)
Meneja wa TARURA wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Leopold Runji akitoa maelezo kwa mkuu wa Wilaya hiyo ,Mhe. Daniel Chongolo kuhusu miundombinu ya barabara katika makazi ya TBA muda mfupi baada ya kutoka kukagua mito inayochimbwa mchanga
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/a2e842eb-98b3-44e5-a388-f2aacdf81353.jpg)
Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo wakiwa wameshuka kwenye gari na kuelekea kwenye mto salasala kuangalia namna ya kuwadhibiti wananchi wanaochimba mchanga katika mto huo.
10 years ago
Vijimambo13 Jan
Wananchi waandamana, wabwaga maiti Polisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph%20konyo-13Jan2015.png)
Kundi la wakazi wa kijiji cha Nkome wilayani Geita, Mkoa wa Geita, wameandamana kisha kutelekeza maiti ya mwenzao, Mlangila Tigamanywa (22), mbele ya kituo cha polisi cha Nkome wakidai baadhi askari wake wamemuua kwa kipigo.
Mlangila anadaiwa kushambuliwa kwa kipigo na askari hao muda mfupi baada ya baba yake mzazi, Bigamanywa Mlangila, kumfikisha kituoni hapo kwa tuhuma za kuvunja dirisha la nyumba yake.
Mbali na mwenyekiti wa kijiji cha Nkome...
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD YAPATA VIFAA VYA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), kontena lenye vifaa vya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Jeshi la Polisi Kilwa Road. Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahmani Kaniki.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), akiongozana na Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), kuelekea kwenye jengo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
SHIMO HATARI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
SHIMO HATARI LAZIBWA
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Ngorongoro; Shimo linalotunza wanyama
KAMA tulivyoahidi wiki iliyopita, tuanze makala yetu ya leo, ambayo itakuwa ya mwisho katika mfululizo wa simulizi kuhusu Bonde la Ngorogoro, kwa kuangalia jinsi hadhi ya bonde hili ilivyopandishwa kisheria....
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Shimo la choo laua watoto
WATOTO wawili wamefariki dunia juzi baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo walipokuwa wakicheza. Watoto hao wametajwa kuwa ni Abubakari Mohamed (3) mkazi wa Vingunguti na Abdulmalick (3) mkazi wa...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Maajabu ya ‘Shimo la Mungu’ Newala
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Kichanga chaokolewa ndani ya shimo la choo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10