Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIMO HATARI LAZIBWA

Shimo hatari lililoripotiwa na Global TV Online juzi Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lililokuwa kero kwa watumiaji, lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar es Salaam. Ungana na Global TV Online kushuhudia shimo hilo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Video: Shimo hatari Barabara ya Ali Hassan Mwinyi lazibwa

Untitled

LILE Shimo hatari lililokuwa kero kwa watumiaji na kuripotiwa na Global TV Online juzi Jumatatu Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar es Salaam. Ungana na Global TV Online kushuhudia shimo hilo lilivyozibwa!

 

11 years ago

GPL

SHIMO HATARI

Shimo hatari lililopo katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo! Ungana na Global TV Online kushuhudia tukio…

 

10 years ago

Michuzi

SHIMO HILI NI HATARI KWA WAPITA NJIA

Wakazi wa mtaa wa Togo Kinondoni Jiji Dar es Salaam wakikatiza kando kando ya Shimo kama lionekanavyo pichani,hali ambayo ni hatari  hasa kwa wapita njia

 

11 years ago

Michuzi

shimo hatari barabara ya Ali hassan Mwinyi jijini Dar es salaam

Shimo hatari lililopo katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo! Ungana na Global TV Online kushuhudia tukio hilo!

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

11 years ago

Mwananchi

Maajabu ya ‘Shimo la Mungu’ Newala

>Katika Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara lipo shimo la ajabu lijulikanalo kama ‘Shimo la Mungu’ lililochukua robo tatu ya ukubwa wa wilaya hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shimo la choo laua watoto

WATOTO wawili wamefariki dunia juzi baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo walipokuwa wakicheza. Watoto hao wametajwa kuwa ni Abubakari Mohamed (3) mkazi wa Vingunguti na Abdulmalick (3) mkazi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngorongoro; Shimo linalotunza wanyama

KAMA tulivyoahidi wiki iliyopita, tuanze makala yetu ya leo, ambayo itakuwa ya mwisho katika mfululizo wa simulizi kuhusu Bonde la Ngorogoro, kwa kuangalia jinsi hadhi ya bonde hili ilivyopandishwa kisheria....

 

10 years ago

Mwananchi

Shimo la tambiko lilivyogeuka ‘jehanamu’ Handeni

“Ama kweli hujafa hujaumbika,” walisema walimwengu wakiwa na maana kubwa kwamba tangu kuzaliwa hadi kufa hupitia au kukumbwa na mabadiliko mbalimbali, lakini litakavyotokea au lini ni siri ya Mungu pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani