Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIMO HILI NI HATARI KWA WAPITA NJIA

Wakazi wa mtaa wa Togo Kinondoni Jiji Dar es Salaam wakikatiza kando kando ya Shimo kama lionekanavyo pichani,hali ambayo ni hatari  hasa kwa wapita njia

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SHIMO HATARI

Shimo hatari lililopo katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo! Ungana na Global TV Online kushuhudia tukio…

 

11 years ago

GPL

SHIMO HATARI LAZIBWA

Shimo hatari lililoripotiwa na Global TV Online juzi Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lililokuwa kero kwa watumiaji, lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar es Salaam. Ungana na Global TV Online kushuhudia shimo hilo…

 

10 years ago

Mwananchi

Harusi za Mbeya lazima ulishe wapita njia eneo lako

Ama kweli duniani kuna mambo. Sikutarajia kuona gharama kubwa zaidi za harusi kwenye eneo masikini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Video: Shimo hatari Barabara ya Ali Hassan Mwinyi lazibwa

Untitled

LILE Shimo hatari lililokuwa kero kwa watumiaji na kuripotiwa na Global TV Online juzi Jumatatu Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar es Salaam. Ungana na Global TV Online kushuhudia shimo hilo lilivyozibwa!

 

11 years ago

GPL

AJALI TANDALE; WEZI WAIBA MILANGO, TAA ZA GARI NA KUWAPORA WAPITA NJIA

Nissan Patrol namba T479 BPJ baada ya kuigonga Bodaboda eneo la Tandale kwa Bonge, Dar jana usiku. Gari hilo mali ya Alex Mutabazi (59) likiwa limevunjwa kioo cha mbele na vibaka wa Tandale kwa Bonge.…

 

11 years ago

Michuzi

shimo hatari barabara ya Ali hassan Mwinyi jijini Dar es salaam

Shimo hatari lililopo katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo! Ungana na Global TV Online kushuhudia tukio hilo!

 

10 years ago

BBCSwahili

Njia ya uzazi wa mpango hatari India

Njia ya upasuaji inayotumiwa na Wanawake kama njia ya uzazi wa mpango nchini humo yawa hatari

 

5 years ago

Michuzi

Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo

Usomaji kwa mfumo wa kidijitali haimaanishi kupitia simu yako ya mkononi, kishikwambi au kompyuta. Ina maana ya kujenga uwezo wa kujifunza kwa kuwaunganisha walimu au wanafunzi popote walipo. Ni njia sahihi ya kujifunza inayoleta maana halisi.

Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.

Kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu

NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani