Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Harufu ya Choo yalazimu ndege ya BA kutua

Ndege moja ya shirika la ndege la British Airways imelazimika kutua kufuatia harufu mbaya iliyokuwa ikitokea kwa choo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NDEGE ZA ABIRIA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA


Kazi ya upanuzi wa kiwanja cha ndege cha Dodoma ikiendelea. Mradi huo umefikia asilimia 30 na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Agosti mwaka huu.
Mafundi wa Kampuni ya CHICO wakiendelea na kazi ya upimaji katika Kiwanja cha Ndege cha Dodoma. Mradi huo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 3.5.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, Meneja wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tishio la 'Bomu' lalazimu ndege ya Ufaransa kutua Kenya

Ndege ya Air France iliyokuwa ikielekea Paris imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa Mombasa baada ya 'bomu' kupatikana ikiwa angani

 

9 years ago

Raia Mwema

Taa zakwamisha ndege za mashirika ya kimataifa kutua Songwe Airport

UWANJA wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya unafunga mwaka ukiwa na ongezeko la abiria takribani mara

Felix Mwakyembe

 

5 years ago

CCM Blog

NDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Dodoma, Bertha Bankwa (kulia), wakati Waziri huyo alipokagua maendeleo ya upanuzi wa kiwanja hicho mkoani Dodoma.

Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...

 

9 years ago

MillardAyo

Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura…

Matukio ya ajali za ndege yalichukua headlines katika vyombo mbalimbali vya habari duniani. Kuna hii nyingine inayohusisha ndege ya abiria aina ya Air France Boeing 777 AF463, iliyokuwa ikifanya safari zake kati ya Mauritius na Paris ambapo  imelazimika kutua kwa ghafla katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta baada ya kuwepo hofu ya bomu. […]

The post Hofu ya bomu ilivyolazimisha ndege ya Ufaransa kutua Kenya kwa dharura… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE KUBWA ZAANZA KUTUA UWANJA WA KIMATAIFA WA ABEID AMAN KARUME ZANZIBAR

Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, ikitowa huduma za ndege kubwa baada ya kumalizika kwa ujenzi wake wa maegesho ya ndege na barabara ya kuondokea, hivi karibuni kama inavyoonekana picha ndege mbili kubwa za Ethiopian airline na Oman Air zikiwa katika uwanja huo kwa wakati mmoja zikitowa huduma ya kusafirisha abiria kupitia uwanja huo' Zanzi News

 

11 years ago

Bongo5

Ndege iliyobeba wanajeshi wa Marekani yalazimika kutua kwa dharura barabarani Uganda

Ikiwa hata saa 24 hazijatimia toka taarifa ya kuanguka kwa ndege nyingine ya Malaysia jana huko Ukraine, ndege nyingine ndogo imelazimika kutua kwa dharura barabarani leo (July 18) nchini Uganda. Ndege hiyo aina ya N604AR, iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa Marekani, ilitua katika eneo la Kiwawu umbali wa kilomita 22 kutoka wilaya ya Mityana na kuathiri […]

 

5 years ago

Michuzi

NDEGE YA KWANZA YA WATALII YAWASILI LEO UWANJA WA KIA, ZINGINE KUTUA KUANZIA MEI 28

Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imesema leo majira ya saa 3:30 asubuhi, Ndege ya kwanza iliyobeba watalii ikitokea nchini Ugiriki imetua katika uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro ikiwa ni mwanzo wa kurejea kwa usafiri wa anga kwa Ndege za kimataifa nchini.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe wakati akizungumza na wandishi wa habari leo ofisini kwake jijini Dodoma.

Waziri Kamwelwe amesema Ndege iliyotua leo ilikua na watalii wanne na watu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Taleban yalazimu jeshi kulinda mji wa Kunduz

Wajeshi wa Afghanistan wametangaza kuwa, wamewauwa zaidi ya wapiganaji 35 wa Taliban katika makabiliano makali waliyoianzisha leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani