Wajisaidia vichakani kwa kukosa choo
Kituo cha kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha Global Vision, kilichopo Chekereni Wilaya ya Moshi, Kilimanjaro kinakabiliwa na ukosefu wa choo hali inayosababisha watoto kujisaidia vichakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Wanafunzi Marasibora wajisaidia vichakani
WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Marasibora iliyoppo Kata ya Kisumwa, wilayani Rorya, Mkoa wa Mara, wanajisaidia vichakani baada ya vyoo vya shule hiyo kuanguka. Hatua hiyo inatokana na uongozi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s72-c/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
WALIMU NA WANAFUNZI WAJISAIDIA VICHAKANI .
![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s640/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
Na Mohab Matukio SHULE ya msingi Izuga Kata ya ( Isaka Jana) katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama Mkoani Shinyanga haina vyoo vya walimu na wanafunzi hali ambayo walimu pamoja na wanafunzi inasababisha kujisaidia vichakani kwazamu.
Hayo yalibainika katika risala iliyosomwa na afisa mtendaji wa Kijiji hicho Reuben Macheyeki mbele ya mbunge wa jimbo la Msalala Ezekiel Maige ilisema kwamba shule hiyo tangu ijengwe mwaka 2009 haijawahi kuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Wanafunzi 600 wajisaidia vichakani
ZAIDI ya wanafunzi 600 wa Shule ya Msingi Kayaki iliyopo Kata ya Ilima wilayani Rungwe mkoani Mbeya, wapo hatarini kupata magonjwa ya milipuko kutokana na kukosa vyoo hatua inayosababisha wajisaidie...
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Shule yafungwa kwa kukosa choo
SHULE ya Msingi Bugarama ambayo ipo katika eneo linalozunguka Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mines Ltd imefungwa baada ya kukosa vyoo. Mkaguzi Mkuu...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Shule Mara yafungwa kwa kukosa choo
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Kufungwa shule kwa kukosa choo ni aibu
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Kukosa Choo: Tatizo sugu linalowatesa wengi
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uF8-yKfvx8M/default.jpg)
DK. MANDAI AKIELEZEA TATIZO LA KUKOSA CHOO NA NAMNA YA KUKABILIANA NALO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hsh-X_L4qn4/VXg863x6vjI/AAAAAAAAEZQ/KIQdic8sq3M/s640/dokta.jpg)
Lakini hapa Dk Mandai anakupa fursa ya kufahamu kuhusu tatizo hilo la kukosa choo ambalo wenzetu wazungu huliita 'consumption'. Karibu utazame kipindi hiki hapo chini ujifunze mengi pia kuhusu tiba asilia zitokanazo na mimea, matunda, nafaka na mitishamba.
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Naishi kwa huduma ya choo