Wanafunzi Marasibora wajisaidia vichakani
WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Marasibora iliyoppo Kata ya Kisumwa, wilayani Rorya, Mkoa wa Mara, wanajisaidia vichakani baada ya vyoo vya shule hiyo kuanguka. Hatua hiyo inatokana na uongozi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s72-c/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
WALIMU NA WANAFUNZI WAJISAIDIA VICHAKANI .
![](http://2.bp.blogspot.com/-p_VsGvbsMq0/VD6BAzqc1CI/AAAAAAAAEDM/mVa2Zxe3sT4/s640/maige%2Bezekielwaziri.jpg)
Na Mohab Matukio SHULE ya msingi Izuga Kata ya ( Isaka Jana) katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama Mkoani Shinyanga haina vyoo vya walimu na wanafunzi hali ambayo walimu pamoja na wanafunzi inasababisha kujisaidia vichakani kwazamu.
Hayo yalibainika katika risala iliyosomwa na afisa mtendaji wa Kijiji hicho Reuben Macheyeki mbele ya mbunge wa jimbo la Msalala Ezekiel Maige ilisema kwamba shule hiyo tangu ijengwe mwaka 2009 haijawahi kuwa na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Wanafunzi 600 wajisaidia vichakani
ZAIDI ya wanafunzi 600 wa Shule ya Msingi Kayaki iliyopo Kata ya Ilima wilayani Rungwe mkoani Mbeya, wapo hatarini kupata magonjwa ya milipuko kutokana na kukosa vyoo hatua inayosababisha wajisaidie...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Wajisaidia vichakani kwa kukosa choo
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Shule ya Marasibora na changamoto lukuki
WAKATI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ikionyesha juhudi za kutatua matatizo yanayoikabili sekta ya elimu nchini, Shule ya Msingi Marasibora iliyopo Kata ya Kisumwa, Tarafa ya Suba, Wilaya...
9 years ago
Habarileo22 Nov
Wagonjwa wajisaidia kwenye mifuko
BAADHI ya wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Hai, wanalazimika kujisaidia katika mifuko ya plastiki maarufu kama ‘Malboro’ kutokana na ubovu wa miundombinu ya vyoo vya hospitali, kujaa na kukosa huduma ya maji safi.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Askari polisi wanasa karafuu zikivushwa vichakani
9 years ago
Mwananchi27 Dec
KUTOKA LONDON : Rais Obama alivyokwenda vichakani na mwingereza mpenda pori maarufu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...