Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule ya Marasibora na changamoto lukuki

WAKATI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ikionyesha juhudi za kutatua matatizo yanayoikabili sekta ya elimu nchini, Shule ya Msingi Marasibora iliyopo Kata ya Kisumwa, Tarafa ya Suba, Wilaya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

SAWAKA yakabiliwa na changamoto lukuki

SHIRIKA la Saidia Wazee Karagwe (SAWAKA), Mkoa wa Kagera, linakabiliwa na  changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma za afya, ushirikina, ukosefu wa vipato na kukosekana kwa mfuko wa jamii ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Elimu ya awali Tunduru na changamoto lukuki

WADAU wa elimu Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) itatolewa katika misingi inayostahiki, itakuwa ni njia mojawapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

GEPF; Mfuko uliopitia changamoto lukuki

KUNA usemi usemao: “Ukimuona nyani mzee ujue amekwepa mishale mingi porini,” hivyo ndivyo ilivyo kwa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu(GEPF) ulioanzishwa  mwaka 1942. Mfuko huo pamoja na kuwa kwanza kuanzishwa...

 

11 years ago

Mwananchi

MALARIA: Changamoto lukuki zaiweka Tanzania njiapanda

Leo ni Siku ya Malaria Duniani. Ni kumbukumbu inayofanyika wakati ugonjwa huo kwa miaka mingi unaliumiza kichwa kwa sehemu kubwa Bara la Afrika hasa Kusini mwa Jangwa la Sahara.

 

10 years ago

Vijimambo

JANUARY MAKAMBA SIFA LUKUKI ALIZONAZO NA CHANGAMOTO ZA KUINGIA IKULU

January Makamba
MWAKA mmoja uliopita nilikutana na mwanasiasa kijana January Yusuf Makamba na kumuuliza kama ana wazo la kugombea urais; jibu lake lilikuwa ni: “Ni wazo sahihi.”

Sikumwelewa alimaanisha nini, lakini habari zilizopo mtaani hivi sasa kuwa anakusudia kuchukua fomu za kuomba uteuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hatimaye kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kugombea urais nimeelewa kuwa jibu lake wakati ule lilimaanisha; NDIYO.

Ni wazi mtu kuamka na wazo la aina hii, kwamba na...

 

11 years ago

Mwananchi

Sauti za Busara 2014: Tamasha kubwa Afrika lenye changamoto lukuki

>Unapozungumzia tamasha la Sauti za Busara, unazungumzia tamasha la Bara la Afrika na dunia nzima. Maana yake ni tamasha linalokusanya maelfu ya wageni wanaolishuhudia kila mwaka.

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi: Sekta muhimu katika kukuza uchumi, yenye changamoto lukuki

Ujenzi ni miongoni mwa sekta zinazokua kwa kasi sana nchini. Sanjari na sekta za mawasiliano, viwanda, uchukuzi na huduma, ujenzi nayo kwa pamoja inachangia ukuaji wa uchumi wa taifa kwa asilimia saba.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA MAALUM: Azania ni shule ya Serikali iliyoibua viongozi lukuki

 Na Maneno Selanyika, Dar es Salaam
SERIKALI na wadau wa sekta ya elimu wanatakiwa kuboresha shule kongwe zilizopo hapa nchini kwa kuwa zina mchango mkubwa katika kulifikisha Taifa hapa lilipo.
Wasomi wengi waliostaafu, wanasiasa, wabunge na viongozi waliopo sasa madarakani wengi wao walisoma kwenye shule hizo ambazo kwa sasa zinakabiliwa na changamoto nyingi hasa za kitaaluma, hivyo kupoteza umaarufu wake.
Ikumbukwe tu kwamba shule ni sehemu ya kumwandaa kijana ili baadae aweze kukabiliana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Marasibora wajisaidia vichakani

WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Marasibora iliyoppo Kata ya Kisumwa, wilayani Rorya, Mkoa wa Mara, wanajisaidia vichakani baada ya vyoo vya shule hiyo kuanguka. Hatua hiyo inatokana na uongozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani