Tacaids yaandaa mkakati kutokomeza VVU
TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imeandaa mkakati wa kitaifa na kimataifa kutokomeza maambukizi mapya ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
ZIRO VVU; Mkakati wa kutokomeza maambukizi kwa watoto
“TANZANIA bila ukimwi inawezekana.” Msemo huu umekuwa ukisemwa sana na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba zake. Si yeye pekee, bali pia viongozi, asasi na mashirika mbalimbali yaliyojitika kwenye mapambano dhidi...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
UVCCM yaandaa mkakati kujiimarisha
JUMUIYA ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Kibaha Mjini, kwa kushirikiana na makatibu 11 wa kata zote wilayani hapa, wameandaa mpango mkakati wa kuimarisha uhai wa jumuiya...
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Serikali yaandaa mkakati kukomesha migogoro ya ardhi
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ukuzaji wa Viumbe Majini, Kajitanus Osewe, Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo na Ofisa Mawasiliano wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Judith Mhina.
Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo (wapili kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, ipo mbioni kuandaa waraka wa matumizi endelevu ya ardhi utakaowezesha kupata suluhu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s72-c/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
SERIKALI KUWEKA MKAKATI MADHUBUTI KUTOKOMEZA MAGONJWA SUGU KWA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-A97rRFfuDlc/XtyAii9BQyI/AAAAAAALs3k/toHBU86pH0s2UwBc49VZYvpW0skTBHYUwCLcBGAsYHQ/s640/7fce7c90d38ac4c90a41698c6a00dbdb.jpg)
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeweka mkakati madhubuti wa kutokomeza Magonjwa yanayoandama mifugo ili kuwa na mifugo bora itakayozalisha kwa tija na kukuza uchumi wa nchi.
Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo wa Tanzania, Profesa Hezron Nonga katika Mkutano wa 45 wa Baraza la Veterinari uliofanyika jijini Dodoma Juni 4,
2020.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya mkutano huo, Profesa Nonga alisema kuwa Tanzania kuna...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AZINDUA MKAKATI WA KUPAMBANA NA UNYANYAPAA WA VVU NCHINI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua nguvu kubwa waliyonayo viongozi wa dini katika jamii na itaendelea kutoa ushirikiano wa dhati katika kuyatekeleza na hatimaye kufikia malengo yanayotarajiwa katika mwitikio wa UKIMWI Tanzania.
“Serikali inaunga mkono tamko na maazimio mliyoyafikia leo hii na itaendelea kutoa ushirikiano wa dhati katika kuyatekeleza na kufikia malengo yanayotarajiwa katika mwitikio wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gw6qeKR6gFQ/Xk5VvHKPidI/AAAAAAAAIIA/vbQIXM95e688RT_3rgWlw6FAEIX6Mf5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_123924_659.jpg)
SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.
Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
TACAIDS waipongeza Tayoa
MAKAMISHNA wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), wamepongeza kazi zinazofanywa na Shirika la Vijana Tayoa katika kupambana na virusi vya Ukimwi kwa vijana na watu wazima. Pongezi hizo zilitolewa...
10 years ago
Habarileo08 Aug
TACAIDS: Hakuna upungufu wa ARVs
TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), imesema serikali imejipanga vyema ili kuhakikisha hakuna upungufu wa dawa za kufubaza maambukizi ya Ukimwi (ARVs) ili kusaidia wanaotumia dawa hizo kutokukatisha dozi.