Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TACAIDS waipongeza Tayoa

MAKAMISHNA wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), wamepongeza kazi zinazofanywa na Shirika la Vijana Tayoa katika kupambana na virusi vya Ukimwi kwa vijana na watu wazima. Pongezi hizo zilitolewa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Tayoa yaendesha mdahalo na wanafunzi kwa Tehama

Na Mwandishi WetuSHIRIKA la Vijana Nchini (Tayoa) kwa ufadhili wa Wizara ya Afya kupitia mradi wa Global Fund, limefanya mdahalo wa kwanza kupitia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ambapo zaidi ya wanafunzi na viongozi wapatao 680 wameshiriki.
Mdahalo huo wa Timiza Malengo 2020 ulifanyika kwa njia ya mtandao wa Zoom ulishirikisha wanafunzi 680 na wakuu wa vitivo 40 kutoka taasisi 32 za elimu ya juu  nchini uliandaliwa na Tayoa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tayoa lazindua shindano la ujasiriamali kwa vijana

SHIRIKA la Tanzania Youth Alliance (Tayoa), kupitia mradi wa Vijanatz Microfinance kwa ufadhili wa Benki ya NBC limezindua mfululizo wa mashindano ya kutafuta na kukuza mawazo ya ujasiriamali kwa vijana...

 

10 years ago

Habarileo

TACAIDS: Hakuna upungufu wa ARVs

TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), imesema serikali imejipanga vyema ili kuhakikisha hakuna upungufu wa dawa za kufubaza maambukizi ya Ukimwi (ARVs) ili kusaidia wanaotumia dawa hizo kutokukatisha dozi.

 

11 years ago

Michuzi

TACAIDS yakutana na wanahabari jijini dar

Afisa Mawasiliano Kutoka TACAIDS Bw. Godlease Malisa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika banda la TACAIDS kwenye viwanja vya Sabasaba jana Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela. Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela akifafanua jambo wakati wa mkutano na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tacaids yaandaa mkakati kutokomeza VVU

TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imeandaa mkakati wa kitaifa na kimataifa kutokomeza maambukizi mapya ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Geita Gold Mine and TACAIDS on course for a new Kilimanjaro Challenge

D92A7409

 The President of United Republic of Tanzania, Hon. Dr. Jakaya M. Kikwete with Ms. Fatma Fernandes, Managing Director of Abel & Fernandes Communications who bought the auctioned painting to show support at the Kilimanjaro Challenge Launch which has been sponsored by Geita Gold Mine (GGM) in partnership with Tanzania Commissions for AIDS (TACAIDS) to raise funds to fight against HIV/AIDS in Tanzania.

D92A7204

The team from Tanzania Commision for AIDS (TACAIDS) at the Kilimanjaro Challenge Launch...

 

10 years ago

Habarileo

TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi

Mwenyekiti Mtendaji wa Tume hiyo, Dk Fatma MrishoTUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.

 

11 years ago

Dewji Blog

TACAIDS yakiri kupungua kwa maambukizi ya UKIMWI nchini

TAC PIX 1

Afisa Mawasiliano Kutoka TACAIDS Bw. Godlease Malisa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika banda la TACAIDS kwenye viwanja vya Sabasaba jana Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela.

Na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikali – WHVUM

Tafiti zilizofanywa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania zinaonyesha kuwa maambukizi mapya ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tacaids: Maadhimisho ya Ukimwi kuhakikisha azma ya sifuri tatu inafikiwa

TUME ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi. Akizungumza jana jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani