TACAIDS waipongeza Tayoa
MAKAMISHNA wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), wamepongeza kazi zinazofanywa na Shirika la Vijana Tayoa katika kupambana na virusi vya Ukimwi kwa vijana na watu wazima. Pongezi hizo zilitolewa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U5H_gMNo-Q4/XunXekkdJZI/AAAAAAALuMQ/nxehCudz85wkC6T0yHA69ZTxSe-es6E-QCLcBGAsYHQ/s72-c/lilian.jpg)
Tayoa yaendesha mdahalo na wanafunzi kwa Tehama
![](https://1.bp.blogspot.com/-U5H_gMNo-Q4/XunXekkdJZI/AAAAAAALuMQ/nxehCudz85wkC6T0yHA69ZTxSe-es6E-QCLcBGAsYHQ/s640/lilian.jpg)
Mdahalo huo wa Timiza Malengo 2020 ulifanyika kwa njia ya mtandao wa Zoom ulishirikisha wanafunzi 680 na wakuu wa vitivo 40 kutoka taasisi 32 za elimu ya juu nchini uliandaliwa na Tayoa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Tayoa lazindua shindano la ujasiriamali kwa vijana
SHIRIKA la Tanzania Youth Alliance (Tayoa), kupitia mradi wa Vijanatz Microfinance kwa ufadhili wa Benki ya NBC limezindua mfululizo wa mashindano ya kutafuta na kukuza mawazo ya ujasiriamali kwa vijana...
10 years ago
Habarileo08 Aug
TACAIDS: Hakuna upungufu wa ARVs
TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), imesema serikali imejipanga vyema ili kuhakikisha hakuna upungufu wa dawa za kufubaza maambukizi ya Ukimwi (ARVs) ili kusaidia wanaotumia dawa hizo kutokukatisha dozi.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sZIQ8J-a8YE/U7ZekmfFjSI/AAAAAAAFu2Q/xGd8dy_bn4c/s72-c/unnamed+(59).jpg)
TACAIDS yakutana na wanahabari jijini dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-sZIQ8J-a8YE/U7ZekmfFjSI/AAAAAAAFu2Q/xGd8dy_bn4c/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EmZpOnA2L-8/U7Zek1XD3iI/AAAAAAAFu2c/Wf1kOp4f7gA/s1600/unnamed+(61).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Tacaids yaandaa mkakati kutokomeza VVU
TUME ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS) imeandaa mkakati wa kitaifa na kimataifa kutokomeza maambukizi mapya ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. Akizungumza na waandishi wa...
11 years ago
Dewji Blog05 May
Geita Gold Mine and TACAIDS on course for a new Kilimanjaro Challenge
The President of United Republic of Tanzania, Hon. Dr. Jakaya M. Kikwete with Ms. Fatma Fernandes, Managing Director of Abel & Fernandes Communications who bought the auctioned painting to show support at the Kilimanjaro Challenge Launch which has been sponsored by Geita Gold Mine (GGM) in partnership with Tanzania Commissions for AIDS (TACAIDS) to raise funds to fight against HIV/AIDS in Tanzania.
10 years ago
Habarileo22 Nov
TACAIDS: Watanzania bado hawana uelewa wa ugonjwa wa Ukimwi
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imesema kuongezeka kwa matumizi ya tiba mbadala katika ugonjwa wa Ukimwi kunatokana na zaidi ya asilimia 50 ya watanzania licha ya kusikia kuhusu ugonjwa huo, bado hawana uelewa wake.
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
TACAIDS yakiri kupungua kwa maambukizi ya UKIMWI nchini
Afisa Mawasiliano Kutoka TACAIDS Bw. Godlease Malisa akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika banda la TACAIDS kwenye viwanja vya Sabasaba jana Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania Dr. Jerome Kamwela.
Na: Genofeva Matemu – Afisa Mawasiliano Serikali – WHVUM
Tafiti zilizofanywa na Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania zinaonyesha kuwa maambukizi mapya ya...
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Tacaids: Maadhimisho ya Ukimwi kuhakikisha azma ya sifuri tatu inafikiwa
TUME ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi. Akizungumza jana jijini...