Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanunuzi wa pamba watakiwa kufuata bei elekezi

BODI ya Pamba Tanzania (TCB), imesema mnunuzi atakayenunua pamba kwa bei chini ya bei elekezi, atakuwa anavunja sheria na taratibu zinazosimamia zao hilo. Mkurugenzi Mkuu wa TCB, Gabriel Mwalo, amesema...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanunuzi wa pamba, wakulima kuingia mkataba

Kikundi cha wanunuzi na wachambuzi wa pamba (Kiwapa) wilayani Kwimba mkoani Mwanza kimeanzisha kilimo cha pamba kwa mkataba ili kuongeza tija kwa wakulima.

 

11 years ago

Mwananchi

Tofauti ya bei kutoka kwa wanunuzi wa pareto yawachanganya wakulima

Wakulima wa Pareto mkoani hapa wamehoji uwapo wa mkanganyiko wa bei ya zao hilo msimu huu baada ya kuwapo kwa wanunuzi wanaowalipa Sh2,200 papo kwa papo huku wengine wakiwalipa Sh1,500 kwanza na nyingine hulipwa baada ya kupima sumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Watakaokiuka bei elekezi kukiona

Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Nurdin Babu ameagiza kuwa mnunuzi yeyote wa korosho atakayenunua zao hilo kwa wakulima chini ya Sh1,000 kwa daraja la kwanza na Sh800 kwa daraja la pili atakamatwa na kufikishwa mahakamani kwa kosa la kuwaibia wakulima.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATANGAZA BEI ELEKEZI YA CHANJO 13 ZA MAGONJWA YA MIFUGO


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Profesa Amandus Muhairwa baada ya kuiziduia bodi hiyo na kupokea taarifa ya kutangazwa kwa bei elekezi ya Chanjo Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) baada ya uzinduzi wa Bodi ya TVLA Makao...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kutaja bei elekezi ada shule za msingi

KILIO cha siku nyingi cha wazazi kuhusu ada za shule za msingi na sekondari, kimesikika na hivi karibuni Serikali itakuja na jibu la kudhibiti ada hizo. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, amesema hayo jana wakati alipozindua mfumo wa ada elekezi kwa vyuo vya elimu ya juu nchini. Amesema kwa sasa Serikali iko katika mchakato wa kuja na bei elekezi ya ada kwa ajili ya shule za msingi na sekondari.

 

11 years ago

Mwananchi

ELIMU: Wadau wapinga bei elekezi ada za vyuo

>Wakati Serikali ikiendelea kutafuta ‘mwarobaini’ wa kushuka kwa elimu, wadau mbalimbali wameitaka kuachana na mpango wa kupanga bei elekezi kwenye ada za shule na vyuo nchini kwa kuwa hilo siyo suluhisho.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Nzega wataka bei ya pamba iboroshwe

MADIWANI wa halmashauri ya Wilaya ya Nzega mkoani Tabora wameiomba serikali kuangalia upya bei ya zao la pamba. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kikao cha baraza la...

 

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

5 years ago

Michuzi

DC Msafiri aagiza vyombo vya ulinzi kufuatilia bei elekezi ya Sukari


Na Amiri kilagalila,Njombe

Serikali wilayani Njombe imeagiza wafanyabishara wa Sukari wilayani humo kuzingatia bei elekezi iliyopangwa na serikali kufuatwa katika mkoa huo ili kudhibidi mlipuko na wizi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara.

Ili kudhibiti kasi ya ongezeko la bei ya sukari nchini serikali imepanga bei ya sukari kwa kila mkoa kulingana na mazingira na mahitaji kwa kuzingatia sherikali sheria ya Sukari No 26 ya Mwaka 2001(Cap. 251) chini ya kifungu cha 11A ambayo imeutaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani