Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGONJWA YA KIKE NA JINSI YA KUKABILIANA NAYO (GYNO PROBLEMS)-2

Uvimbe katika viungo vya uzazi vya mwanamke ‘Pelvic Mass’
Uvimbe katika viungo vya uzazi vya mwanamke ni tatizo sugu  linalosumbua wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa. \Hakuna chanzo halisi cha uvimbe ingawa baadhi husababishwa na matatizo katika mfumo wa homoni.
Uvimbe katika viungo vya uzazi vipo nje na ndani. Uvimbe unaweza kuwa mkubwa kama mimba au mdogomdogo na mwingi. Uvimbe pia unaweza kuwa katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI JINSI YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO DAR

Daktari Mwandamizi Dharura na Maafa kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Mary Kitambi akitoa mada jana jijini Dar es salaam wakati wa semina ya waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu. Mmoja wa waandishi wa habari akiuliza swali jana jijini Dar es salaam wakati wa semina ya waandishi wa habari jinsi ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Gain Marc Van Amengen (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi...

 

5 years ago

Michuzi

CHANGAMOTO YA MABADILIKO YA TABIANCHI UKANDA WA EAC MFUKO WA PAMOJA NDIO SULUHU YA KUKABILIANA NAYO


Na Ahmed Mahmoud, Arusha.
Imeelezwa kuwa changamoto ya utoaji wa fedha za fidia kwa nchi zenye kuleta athari ya mabadiliko ya Tabianchi duniani kwa kiwango kikubwa imekuwa ni Tatizo hivyo inahitajika mjadala mpana kuokoa hali ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa nchi changa duniani.
Hayo yamebainishwa kwenye mjadala wa kamati ya Kilimo Maliasili na Utalii ya bunge la Afrika mashariki na mbunge wa bunge hilo Josephine Lemoyan wakati alipokuwa akiongea na vyombo vya habari Mara baada...

 

9 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO-TANZANIA

Bw. Noel Kaganda,  Afisa  Mwandamizi, Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa,  akizungumza  kwa  niaba ya Tanzania wakati Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa  lilipokutana  mwishoni mwa wiki  kujadili kuhusu ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje.-------------------------------------------------------------------------Mwishoni  mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio...

 

9 years ago

CCM Blog

TANZANIA: JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO



NA MWANDISHI MAALUM, NEW YORKMwishoni  mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na magonjwa ya milipuko na dharura nyingine za kiafya.
Katika mjadala huo, wazungumzaji wengi, walisisitiza   umuhimu wa kuimarishwa kwa mifumo ya afya, hususan katika nchi za kipato cha chini na cha kati zisizo na uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa ya...

 

10 years ago

GPL

JINSI YA KUTAMBUA MAGONJWA YANAYOATHIRI AFYA YA UZAZI

KUNA dalili nyingi za kugundua kama una magonjwa ambayo yanaathiri viungo vya uzazi kwa upande wa wanawake na wanaume. Kwa upande wa wanawake, wanaweza kutambua kwamba  wana ugonjwa ambao utaathiri afya ya uzazi kwa kutokwa na majimaji au ute kwenye uke. Wanawake wanapaswa kutafuta msaada wa kimatibabu wakigundua lolote kati ya haya yafuatayo:- Majimaji ya ukeni ambayo yana harufu isiyo ya kawaida na yenye rangi tofauti na...

 

9 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kukabiliana na vidonda vya tumbo

Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula katika mwili unaohusika na umeng’enyaji wa chakula mpaka kuwa katika hali inayoweza kusharabiwa na mwili ili kuuwezesha kufanya kazi mbalimbali.

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa  wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...

 

10 years ago

Michuzi

IJUE SAYANSI YA MOTO NA JINSI YA KUKABILIANA NAO 2.

NA NASIBU MGOSSO.
 Awali ya yote nichukue fulsa hii kuomba radhi kwa makosa ya kiuandishi yaliyo jitokeza katika makala iliyopita  ambayo  mwanzoni  mwa paragrafu  ya kwanza nilianza kueleza moto nikitugani,  lakini katika maelezo kulitokea mkanganyiko,  Sehemu hiyo ilipaswa isomeke hivi:
Moto ni mgongano endelevu  wa  kikemikali ambao uzaa joto na mwanga.  Mgongano  huo  endelevu   utasababisha muwako  ambao  utaendelea   kukua  endapo  utapata  vitu vikuu  vitatu  ambavyo  ni joto,  hewa  ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Unajua jinsi ya kukabiliana na vikwazo katika maisha yako?

Kama ungeulizwa ni vitu gani vinakukwaza katika maisha, nina hakika ungeorodhesha vitu vingi kama vile kukosa nyumba, kukosa gari, kukosa kazi ya mshahara mzuri, kukosa ushirikiano na watu wanaokuzunguka na vikwazo vingine kadha wa kadha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani