MAGONJWA YA KIKE NA JINSI YA KUKABILIANA NAYO (GYNO PROBLEMS)-2
![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zZTr0yAcBfB3ps9oDMqNryMx0i9S5Yu*aF3ePQT*EGIu6yzYZ4kuiTT*ffGJkLwRsuhKKMtFOedzAphhaYS5oMc/GetImage.aspx.gif?width=650)
Uvimbe katika viungo vya uzazi vya mwanamke ‘Pelvic Mass’ Uvimbe katika viungo vya uzazi vya mwanamke ni tatizo sugu linalosumbua wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa. \Hakuna chanzo halisi cha uvimbe ingawa baadhi husababishwa na matatizo katika mfumo wa homoni. Uvimbe katika viungo vya uzazi vipo nje na ndani. Uvimbe unaweza kuwa mkubwa kama mimba au mdogomdogo na mwingi. Uvimbe pia unaweza kuwa katika...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XmhGPchUt8M/VdcygPTCoZI/AAAAAAAHy5I/Ff5kuebfbkY/s72-c/1.jpg)
WIZARA YA AFYA YAWANOA WAANDISHI WA HABARI JINSI YA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-XmhGPchUt8M/VdcygPTCoZI/AAAAAAAHy5I/Ff5kuebfbkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebr585LDav8/VdcygLcJ_EI/AAAAAAAHy5M/Fv1CBSRENDY/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BAtO2rtcXwE/VdcyhDymGRI/AAAAAAAHy5U/gdOqluTIlv4/s640/4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
CHANGAMOTO YA MABADILIKO YA TABIANCHI UKANDA WA EAC MFUKO WA PAMOJA NDIO SULUHU YA KUKABILIANA NAYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-t-JQsfU4D3Y/XrEM6xF507I/AAAAAAALpKc/FzoO0pOygcgjlzThCoijbVtdAshwndhZACLcBGAsYHQ/s320/index.png)
Na Ahmed Mahmoud, Arusha.
Imeelezwa kuwa changamoto ya utoaji wa fedha za fidia kwa nchi zenye kuleta athari ya mabadiliko ya Tabianchi duniani kwa kiwango kikubwa imekuwa ni Tatizo hivyo inahitajika mjadala mpana kuokoa hali ya athari za mabadiliko ya Tabianchi kwa nchi changa duniani.
Hayo yamebainishwa kwenye mjadala wa kamati ya Kilimo Maliasili na Utalii ya bunge la Afrika mashariki na mbunge wa bunge hilo Josephine Lemoyan wakati alipokuwa akiongea na vyombo vya habari Mara baada...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aBveYIP6Pus/VncB7ZNlSKI/AAAAAAAINkg/BwlNuemAlQ4/s72-c/657837%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B17_12_2015%2B-%2B18.01.02%2B%25281%2529%2B-%2BCopy.jpeg)
JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO-TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aBveYIP6Pus/VncB7ZNlSKI/AAAAAAAINkg/BwlNuemAlQ4/s640/657837%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B17_12_2015%2B-%2B18.01.02%2B%25281%2529%2B-%2BCopy.jpeg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s72-c/US.jpg)
TANZANIA: JUMUIYA YA KIMATAIFA IJIZATITI KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Eg9MbsYmc1U/Vneoi83yMjI/AAAAAAAA2CI/bgmfPJ6nl0Y/s640/US.jpg)
NA MWANDISHI MAALUM, NEW YORKMwishoni mwa wiki, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilijadili ajenda ya Afya na Sera ya Mambo ya Nje ambapo pamoja na mambo mengine lilipitisha azimio linalotathmini utayari wa nchi wanachama kukabiliana na magonjwa ya milipuko na dharura nyingine za kiafya.
Katika mjadala huo, wazungumzaji wengi, walisisitiza umuhimu wa kuimarishwa kwa mifumo ya afya, hususan katika nchi za kipato cha chini na cha kati zisizo na uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/MOC7BqAcxPuCVavomtvEX4NKJ95-gU0g7yzSoTX1Ar31muVaKU*rYqD1cD2lkBFc3*EeorvjSzYM909YWMk6urrmFIQCl-Vd/gonjwa.jpg?width=650)
JINSI YA KUTAMBUA MAGONJWA YANAYOATHIRI AFYA YA UZAZI
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Jinsi ya kukabiliana na vidonda vya tumbo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WDg2VtTGa3U/XuJdbr38RjI/AAAAAAALtfI/mofgfKxX2NsZCw_cwhVvne_7y35ciTvnwCLcBGAsYHQ/s72-c/12.jpg)
DKT. MAGUFULI AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUGEUKIA TIBA ASILI KUKABILIANA NA MAGONJWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WDg2VtTGa3U/XuJdbr38RjI/AAAAAAALtfI/mofgfKxX2NsZCw_cwhVvne_7y35ciTvnwCLcBGAsYHQ/s400/12.jpg)
RAIS Dkt. John Magufuli amewataka wananchi kutodharau matumizi ya dawa za kienyeji hasa katika kukabiliana na maradhi mbalimbali ikiwemo ugonjwa wa mlipuko wa Corona (Covid-19.)
Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya lami katika mji wa kiserikali Mtumba, Magufuli amesema kuwa wengi wamekuwa wakidharau matumizi ya dawa za kienyeji kwa kile kinachoelezwa kuwa zimepitwa na wakati huku zikiwa zimeonesha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Spdm0ddcg6A/VZramewA4XI/AAAAAAAHnWc/hyJJyRl-xLs/s72-c/unnamed%2B%252858%2529.jpg)
IJUE SAYANSI YA MOTO NA JINSI YA KUKABILIANA NAO 2.
Awali ya yote nichukue fulsa hii kuomba radhi kwa makosa ya kiuandishi yaliyo jitokeza katika makala iliyopita ambayo mwanzoni mwa paragrafu ya kwanza nilianza kueleza moto nikitugani, lakini katika maelezo kulitokea mkanganyiko, Sehemu hiyo ilipaswa isomeke hivi:
Moto ni mgongano endelevu wa kikemikali ambao uzaa joto na mwanga. Mgongano huo endelevu utasababisha muwako ambao utaendelea kukua endapo utapata vitu vikuu vitatu ambavyo ni joto, hewa ya...
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Unajua jinsi ya kukabiliana na vikwazo katika maisha yako?