Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washauriwa kutoacha kunyonyesha sababu ya kazi

WANAWAKE waajiriwa wanaonyonyesha wameshauriwa kukamua maziwa na kuyahifadhi kwa ajili ya watoto wao, wanyweshwe wakati wakiwa kazini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Iwezekane kunyonyesha na kufanya kazi

MAADHIMISHO ya Wiki ya Unyonyeshaji yanaanza kesho yakiwa na kaulimbiu ‘unyonyeshaji na kazi, hakikisha inawezekana.’

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, maadhimisho haya yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhakikisha afya ya mtoto inaboreshwa.

Kimsingi ni jukumu la mama kuhakikisha ustawi wa mtoto kwa kumpa haki yake ya kunyonya maziwa yake, tena kikamilifu.

Hili linatokana na ukweli kuwa, maziwa ya mama yana vitamini na virutubisho muhimu...

 

10 years ago

Habarileo

Watumishi washauriwa kusoma sheria za kazi

WATUMISHI wa idara, taasisi, mashirika mbalimbali ya serikali na binafsi wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupenda kusoma na kupitia sheria na kanuni za kazi kabla ya kudai haki zao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii

KS2

Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

KS3

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi  Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Waeleza sababu za kufukuzwa kazi

Makocha wa timu za Ligi Kuu ambao ajira zao zilisitishwa wakati msimu ukiendelea au baada ya kumalizika wamefunguka na kueleza sababu tatu zilizowaondoa kuendelea kuzitumikia klabu zao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aachishwa kazi kwa sababu ya 'Tatoo'

Niliulizwa kwa nini nilikuwa na michoro mingi au Tatoo kwa mwili wangu pamoja na kuhojiwa kwa nini nimejitoga sana usoni mwangu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Aondolewa marukufu ya kuendesha kwa sababu ya kazi anayofanya

Bwana mmoja ameondolewa mashtaka kwa sababu ya kazi anayofanya ya kutengenezea wagonjwa wa saratani nywele bandia

 

9 years ago

Bongo5

Weusi waeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa kazi ya kundi

Weusi

Kundi la Weusi linaloundwa na Nikki Wa Pili, G-Nako, Joh Makini, Lord Eyez na Bonta limeeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa wimbo wowote wa kundi, mbali na single za mmoja mmoja ambazo hata hivyo kila mmoja zimemsaidia kumuweka pazuri zaidi.

Weusi

Baadhi ya nyimbo walizotoa Weusi kama msanii mmoja mmoja mwaka huu ni kama Joh Makini ametoa Nusu Nusu na Don’t Bother, Nikki Wa Pili ametoa Safari na Baba Swalehe, G- Nako ametoa Laini na anatarajia kuachia wimbo mpya Original, Bonta pia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wahimizwa kunyonyesha watoto

WANAWAKE nchini wamehamasishwa kuwanyonyesha maziwa ya mama pekee watoto wachanga katika saa moja mara baada ya kujifungua hadi miezi sita bila kuwapa kitu chochote ikiwemo maji na juisi kwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani