Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wahimizwa kunyonyesha watoto

WANAWAKE nchini wamehamasishwa kuwanyonyesha maziwa ya mama pekee watoto wachanga katika saa moja mara baada ya kujifungua hadi miezi sita bila kuwapa kitu chochote ikiwemo maji na juisi kwa kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake walipwa kwa kunyonyesha watoto

Wanawake nchini Uingereza wanalipwa pesa ili kuwahamasisha kujenga tabia ya kunyonyesha watoto ipasavyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Kunyonyesha kunaokoa maisha ya watoto

Umoja wa Mataifa unasema kuwa takriban watoto 800,000, walio chini ya mwaka mmoja wanaweza kuokolewa kila mwaka kwa kunyonyeshwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume nao wanaweza kunyonyesha watoto wao

Unaingia katika nyumba ya rafiki yako Jumanne Mwesiga na macho yako yanakutana ana kwa ana na Mwesiga akimnyonyesha mtoto wake mchanga mwenye umri wa miezi miwili.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake wahimizwa kujifungulia hospitali

Mke wa Rais, Mama Salma KikweteMKE wa Rais Mama Salma Kikwete , amesema vifo vya wajawazito na watoto vitaweza kupungua ama kumalizika kabisa, iwapo wanawake watawahi mapema kujifungulia katika zahanati na vituo vya afya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wahimizwa kuweka akiba

WANAWAKE nchini wameaswa kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo wanayojiwekea kwa maendeleo ya familia zao. Wito huo ulitolewa na mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali, wakati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wahimizwa kuwa nafasi za uongozi

MWENYEKITI wa UVCCM mkoa wa Iringa,  Tumaini Msowoya ametembelea wodi ya watoto 22

Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa, Tumaini Msowoya akimkabidhi msaada mmoja kati ya wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya watoto kwenye Hospitali ya mkoa, wakati alipotembelea wodi ya watoto 22.

Na Fredy Mgunda, Iringa

JAMII imeaswa kuacha mitazamo dhaifu na yenye kejeri kwa wanawake wanaojitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa.

Aidha wanawake wenyewe wameshauriwa kutolegea  na kuwa na misimamo pindi wanapotaka kuingia madarakani kwa kujiamini na kutokubali kutumiwa kama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu

DSC05830

Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba  hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.

DSC05834

Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake wahimizwa kuwania nafasi uchaguzi serikali za mitaa

WANAWAKE kote nchini wamehimizwa kuacha malumbano na kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waandishi wahimizwa kuelemisha wanawake juu ya haki zao

DSC00179111

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu

WAANDISHI wa habari mkoa wa Singida, wamehimizwa kutumia kalamu zao kuwaelimisha wanawake juu ya haki zao mbalimbali ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa dhidi yao.

Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki na kiongozi wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa Singida Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Eileen Mbwatila wakati akizungumza na waandishi wa habari wanaotathmini utekelezaji wa mradi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani