Wanawake wahimizwa kujifungulia hospitali
MKE wa Rais Mama Salma Kikwete , amesema vifo vya wajawazito na watoto vitaweza kupungua ama kumalizika kabisa, iwapo wanawake watawahi mapema kujifungulia katika zahanati na vituo vya afya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wanawake Kitelewasi vinara kujifungulia majumbani
WANAWAKE wa Kijiji cha Kitelewasi Kata ya Rungemba Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wanaongoza kwa kujifungulia majumbani licha ya elimu kutolewa kuhusu umuhimu wa kujifungulia katika vituo vya afya na...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Wanawake wahimizwa kunyonyesha watoto
WANAWAKE nchini wamehamasishwa kuwanyonyesha maziwa ya mama pekee watoto wachanga katika saa moja mara baada ya kujifungua hadi miezi sita bila kuwapa kitu chochote ikiwemo maji na juisi kwa kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Wanawake wahimizwa kuweka akiba
WANAWAKE nchini wameaswa kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo wanayojiwekea kwa maendeleo ya familia zao. Wito huo ulitolewa na mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilali, wakati...
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Wanawake wahimizwa kuwa nafasi za uongozi
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa, Tumaini Msowoya akimkabidhi msaada mmoja kati ya wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya watoto kwenye Hospitali ya mkoa, wakati alipotembelea wodi ya watoto 22.
Na Fredy Mgunda, Iringa
JAMII imeaswa kuacha mitazamo dhaifu na yenye kejeri kwa wanawake wanaojitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa.
Aidha wanawake wenyewe wameshauriwa kutolegea na kuwa na misimamo pindi wanapotaka kuingia madarakani kwa kujiamini na kutokubali kutumiwa kama...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu
Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.
Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Waandishi wahimizwa kuelemisha wanawake juu ya haki zao
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel LimuWAANDISHI wa habari mkoa wa Singida, wamehimizwa kutumia kalamu zao kuwaelimisha wanawake juu ya haki zao mbalimbali ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa dhidi yao.
Wito huo umetolewa mwishoni mwa wiki na kiongozi wa dawati la jinsia na watoto mkoa wa Singida Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Eileen Mbwatila wakati akizungumza na waandishi wa habari wanaotathmini utekelezaji wa mradi wa...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Wanawake wahimizwa kuwania nafasi uchaguzi serikali za mitaa
WANAWAKE kote nchini wamehimizwa kuacha malumbano na kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Hospitali yadhalilisha wanawake — Utafiti
WANAWAKE wajawazito wa Kata ya Mabibo, Dar es Salaam, wanaokwenda kujifungua kwenye hospitali ya Sinza- Palestina, wanatakiwa kwenda na ndoo kwa ajili ya kuweka kondo la uzazi baada ya kujifungua,...