Wanawake Kitelewasi vinara kujifungulia majumbani
WANAWAKE wa Kijiji cha Kitelewasi Kata ya Rungemba Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wanaongoza kwa kujifungulia majumbani licha ya elimu kutolewa kuhusu umuhimu wa kujifungulia katika vituo vya afya na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Aug
Wanawake wahimizwa kujifungulia hospitali
MKE wa Rais Mama Salma Kikwete , amesema vifo vya wajawazito na watoto vitaweza kupungua ama kumalizika kabisa, iwapo wanawake watawahi mapema kujifungulia katika zahanati na vituo vya afya.
11 years ago
Habarileo15 Mar
50% ya wanawake wanajifungulia majumbani
KATIBU Mkuu Wizara ya Afya, Dk Mohamed Saleh Jidawi amesema asilimia 50 ya wanawake wajawazito bado wanajifungulia majumbani na kuhatarisha maisha yao.
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wanawake wengi bado wajifungulia majumbani
LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoa huduma bure za afya kwa wajawazito, ni asilimia 12.4 tu ya wanawake wanajifungulia katika hospitali za serikali.
9 years ago
BBCSwahili15 Sep
Voliboli :wanawake Kenya vinara
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Wanawake ndiyo vinara usafiri wa bodaboda
10 years ago
Vijimambo10 Feb
Wanawake ndiyo vinara usafiri wa bodaboda
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2618906/highRes/941926/-/maxw/600/-/tqgqtu/-/wanawake.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGjgPH8*8vn*kd8CYMet7Zu8YH1sjHwzZwYavkT5IKIkpsxpvfI9dth2qW0Y18qyQPFx3qPNDfDdZDeQxG-2vOE1WIXRWNNa/1.2.jpg?width=650)
ZARI AZUIWA KUJIFUNGULIA A. KUSINI
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Je,wanaume wasalie eneo la kujifungulia?
11 years ago
Habarileo05 Jan
Muuguzi aishi chumba cha kujifungulia
WA J A W A Z I T O katika Kijiji cha Iglansoni wilayani Ikungi mkoani Singida hawana mahali pa kujifungulia baada ya muuguzi wa zahanati hiyo, Mary Misai kuweka makazi yake kwenye chumba hicho.