Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


50% ya wanawake wanajifungulia majumbani

KATIBU Mkuu Wizara ya Afya, Dk Mohamed Saleh Jidawi amesema asilimia 50 ya wanawake wajawazito bado wanajifungulia majumbani na kuhatarisha maisha yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake Kitelewasi vinara kujifungulia majumbani

WANAWAKE wa Kijiji cha Kitelewasi Kata ya Rungemba Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, wanaongoza kwa kujifungulia majumbani licha ya elimu kutolewa kuhusu umuhimu wa kujifungulia katika vituo vya afya na...

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wengi bado wajifungulia majumbani

LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoa huduma bure za afya kwa wajawazito, ni asilimia 12.4 tu ya wanawake wanajifungulia katika hospitali za serikali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Google yaingia majumbani

Kampuni ya Google imetoa kiasi cha dola billion 3 nukta mbili kwa kampuni ya Nest ambayo imekuwa ikitengeneza vifaa vya majumbani.

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi wa majumbani wakumbukwa

 Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro MahangaSERIKALI imesema inatarajia kuwasilisha bungeni mkataba namba 189 unaohusu kazi zenye staha kwa wafanyakazi wa majumbani ili uweze kuridhiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyikazi kusalia majumbani Liberia.

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf amewataka wafanyikazi wa serikali wasio na umuhimu mkubwa kusalia majumbani mwao

 

9 years ago

StarTV

Ukatili majumbani waendelea Arusha.

Licha ya serikali na asasi zisizo za kiserikali kupiga vita vitendo vya unyanyasaji na ukatili katika jamii, mwanamke mmoja mkazi wa mtaa wa Oldadai kitongoji cha Ngulelo jijini Arusha anatuhumiwa kuwafanyia vitendo vya kikatili pamoja na kuwatishia maisha wasichana wake wa kazi hatua ambayo imewalazimu majirani kuingilia kati.

Binti aliyejulikana  kwa jina la Jesca Mathias  kati ya mabinti watatu wakiwa kama waajiriwa wa mwanamke anaetambulika kama mama Malaika ,amekuwa akinyanyasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wanaumia bei ya gesi ya majumbani

MWAKA 2014 hali ya maisha kwa Watanzania wa kawaida  imezidi kuwa ngumu kutokana na kila kitu kupanda bei. Mambo yaliyonishtua na kusababisha niandike mtazamo huu ni kutokana na bei ya...

 

9 years ago

Habarileo

Mikoa minne kufaidika na gesi majumbani

WANANCHI 37,900 wanatarajia kuanza kunufaika na matumizi ya gesi majumbani pamoja na magari 9,400 kwa kuunganishwa na matumizi ya gesi kwenye mikoa minne inayopita bomba la gesi kutoka Mtwara mpaka jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia lazua kasheshe majumbani

Wanawake mjini Mombasa pwani ya Kenya walalamika kuwa waume zao wamewateleka wakati huu wa kombe la dunia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani