Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFISA HABARI WA FUFA, MULINDWA AACHA KAZI

Afisa habari wa FUFA, Rogers Mulindwa.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Pluijm aacha kazi Yanga

Kocha Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameacha kazi katika klabu hiyo.
Pluijm ameondoka nchini jana kwenda Saudi Arabia, Mashariki ya Kati barani Asia ambako ataingia mkataba wa kuinoa Klabu ya Al Shoala na atakuwa akilipwa dola 20,000 (Sh milioni 32) kwa mwezi wakati Yanga ilikuwa ikimlipa dola 11,000 (Sh milioni 18) kwa mwezi.
Pluijm alitua Yanga miezi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hakimu Karagwe aacha kazi ghafla

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Hakimu wa Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera, Peter Matete, ameacha kazi ghafla, huku akikwepa kutaja sababu ya hatua hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari jana  mjini Kayanga,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Amokachi aacha kazi baada ya wiki tano

Daniel Amokachi amejiuzulu wadhifa wake kama meneja wa FC IfeanyiUbah, Nigeria baada ya kufanya kazi wiki tano pekee.

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil:Luiz Felipe Scolari aacha kazi

Kocha wa timu ya taifa ya Brazil,Luiz Felipe Scolari, ameacha kazi kama meneja wa timu hiyo

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Maulid Kitenge aacha kazi Radio One na kujiunga na EFM

Mtangazaji mkongwe wa michezo kwenye kituo cha redio cha Radio One Stereo, Maulid Kitenge ameacha kazi na kwenye kituo hicho na kujiunga na kituo kipya cha redio, EFM. Kitenge akisaini mkatana wa kujiunga na EFM, kushoto ni Mkurugenzi wa Vipindi, Dickson ‘Dizzo’ Ponela Katika barua yake ya kujiuzulu, Kitenge ambaye amefanya kazi kwenye kituo hicho […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa kampuni ya reli Tanzania (RAHCO) Benhadard Tito.

 

9 years ago

Michuzi

Afisa biashara wa halmashauri ya Dodoma asimamishwa kazi

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAIS

Anuani ya Simu “TAMISEMI” DODOMASimu Na: (026) 2322848, 2321607,                              2322853, 2322420, Nukushi: (026) 2322116,  2322146.                             2321013,       Barua pepe:ps@poralg.go.tz
Tawala za Mikoana Serikali za Mitaa,S. L. P. 1923,                          DODOMA.  
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara...

 

10 years ago

Mwananchi

Pluijm rasmi Yanga, Jerry Muro awa Afisa Habari

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imemtangaza rasmi Kocha Hans van Pluijm kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akisaidiwa na Boniface Mkwasa kama kocha msaidizi .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani