AFISA HABARI WA FUFA, MULINDWA AACHA KAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-u6IVgJApmLM/Us52FSuvzoI/AAAAAAAApXo/lCIMDjiKrwI/s1600/rogers_mulindwa_bobby.jpg?width=640)
Afisa habari wa FUFA, Rogers Mulindwa.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/IbsHjlT0tFc/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YgYdeQ2zeoweCktjpL6wYARUDbvnErMMfuGmdSnMqmFFTZxLIDgVNHHeTI8mOl2733y4mAgERHlU3oIdE0X8q7t/2.gif?width=650)
Pluijm aacha kazi Yanga
Kocha Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mholanzi wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameacha kazi katika klabu hiyo.
Pluijm ameondoka nchini jana kwenda Saudi Arabia, Mashariki ya Kati barani Asia ambako ataingia mkataba wa kuinoa Klabu ya Al Shoala na atakuwa akilipwa dola 20,000 (Sh milioni 32) kwa mwezi wakati Yanga ilikuwa ikimlipa dola 11,000 (Sh milioni 18) kwa mwezi.
Pluijm alitua Yanga miezi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Hakimu Karagwe aacha kazi ghafla
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Hakimu wa Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera, Peter Matete, ameacha kazi ghafla, huku akikwepa kutaja sababu ya hatua hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini Kayanga,...
9 years ago
BBCSwahili18 Sep
Amokachi aacha kazi baada ya wiki tano
Daniel Amokachi amejiuzulu wadhifa wake kama meneja wa FC IfeanyiUbah, Nigeria baada ya kufanya kazi wiki tano pekee.
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
Brazil:Luiz Felipe Scolari aacha kazi
Kocha wa timu ya taifa ya Brazil,Luiz Felipe Scolari, ameacha kazi kama meneja wa timu hiyo
10 years ago
Bongo518 Aug
Picha: Maulid Kitenge aacha kazi Radio One na kujiunga na EFM
Mtangazaji mkongwe wa michezo kwenye kituo cha redio cha Radio One Stereo, Maulid Kitenge ameacha kazi na kwenye kituo hicho na kujiunga na kituo kipya cha redio, EFM. Kitenge akisaini mkatana wa kujiunga na EFM, kushoto ni Mkurugenzi wa Vipindi, Dickson ‘Dizzo’ Ponela Katika barua yake ya kujiuzulu, Kitenge ambaye amefanya kazi kwenye kituo hicho […]
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa kampuni ya reli Tanzania (RAHCO) Benhadard Tito.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pUmVtaFFanI/VoPEdO_fYPI/AAAAAAADEWo/KJmmgBRCmNM/s72-c/New%2BPicture.png)
Afisa biashara wa halmashauri ya Dodoma asimamishwa kazi
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUmVtaFFanI/VoPEdO_fYPI/AAAAAAADEWo/KJmmgBRCmNM/s1600/New%2BPicture.png)
Anuani ya Simu “TAMISEMI” DODOMASimu Na: (026) 2322848, 2321607, 2322853, 2322420, Nukushi: (026) 2322116, 2322146. 2321013, Barua pepe:ps@poralg.go.tz
Tawala za Mikoana Serikali za Mitaa,S. L. P. 1923, DODOMA.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara...
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUmVtaFFanI/VoPEdO_fYPI/AAAAAAADEWo/KJmmgBRCmNM/s1600/New%2BPicture.png)
Anuani ya Simu “TAMISEMI” DODOMASimu Na: (026) 2322848, 2321607, 2322853, 2322420, Nukushi: (026) 2322116, 2322146. 2321013, Barua pepe:ps@poralg.go.tz
Tawala za Mikoana Serikali za Mitaa,S. L. P. 1923, DODOMA.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Pluijm rasmi Yanga, Jerry Muro awa Afisa Habari
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba Klabu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imemtangaza rasmi Kocha Hans van Pluijm kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akisaidiwa na Boniface Mkwasa kama kocha msaidizi .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania